Nawakumbuka makuruta wen zangu Itende JKT kina Calman Mkenda, Eliasi Ndutu,Mapinduzi Mwawalo, Anatalia Luwungo, Mpendwa Chitegile,Predikanda Chandalala,na wengineo wengi, lakini tulikuwa na kina Afande James,CO wetu kipindi hicho alikuwa Afande Martin Madatta, na II I/C wake ail kuwa Marehemu...
Usikate tamaa huenda mwaka huu wa 2016 Ikawa mwisho wa kutoajiriwa na ndivyo itakavyokuwa, Hali hiyo uliyonayo imewahi kutupata hata sisi wengine lakini takribani miaka Kama yako baada ya kuhitimu shule tulipata ajira na kuna watu walitutia Moyo Kama tunavyofanya kwako kwamba hata ipite miaka...
Kiasi cha faini gawanya kwa 10 utapata thamani halisi ya nyara zilizokutwa, kwa lugha nyepesi thamani ya nyara ni Tshs. 13,839,000/= na siyo hizo 138,390,000/ kama ilivyonukuliwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.