Recent content by kennedy fikot

  1. K

    Wanasiasa Wanao Tafuta Kiki Baada Ya Mwaka Kuwapoteza

    Huyo aliyeshika mike ni nani af mbona kama yuko peku.
  2. K

    Huyu Jerry Muro ana matatizo gani jamani?

    "Weak people revenge, strong people forgive and intelligent people ignore" Manara yampasa apotezee tu Jery muro ni mzee wa matukio
  3. K

    Rais Mstaafu Kikwete akataa kuishi Msoga? Anataka kuishi wapi?

    Mkwepa kodi kwani ukistaafu lazima uishi ulikozaliwa! Maisha popote mwache mkwele wa watu akaishi atakako hata palestina aende tu.
  4. K

    Rais John Magufuli Afanya Mazungumzo Na Shein Leo Ikulu

    Shein mbona kapungua sana jaman
  5. K

    Wassira aliitabiria kifo CHADEMA kisiasa, kafa yeye

    Acha akalalage nyumbani tu alikua analitia bunge aibu kwa kulalalala bungeni cheki alivo utadhani dudu.
  6. K

    Yametimia: Ugumu wa maisha umeanza kujitokeza

    Kwenye maisha hakuna hali ya kudumu.mmekwepa kodi kipindi cha jk wakati wa kurudisha hela za uma ushafika
  7. K

    Yametimia: Ugumu wa maisha umeanza kujitokeza

    Lipeni kodi msiishie kulalamika tu.
  8. K

    Kashfa ya makontena yamuibua Ridhiwan Kikwete!

    Mwanae jk mbona anakanusha au ndo kujihami
  9. K

    Wizara nzito wanapopewa mawaziri mizigo:

    Kuna kiongozi mmoja wa chama tawala aliwahi kusema kuna baadhi ya mambo kwenye nchi hii hayaendi sawa kwasababu baadhi ya mawaziri kuwa ni mizigo. Wizara ya Maliasili na utalii ni moja ya wizara mzito na ni wizara nyeti sana, napata hofu kwa huyu waziri aliyeteuliwa kuisimamia hiyo wizara mama...
  10. K

    Rais Magufuli akamilisha uteuzi wa Baraza la Mawaziri, Makame Mbarawa abadilishiwa Wizara

    Magembe kama alishindwa kasi ya speed 40 ya mkwere ataiweza speed 120 ya Mag?
  11. K

    Grade Mpya za matokeo Necta ni jipu, Limepata mtumbuaji..

    Hivi lazima kila waziri aje na mfumo wake? Hii elimu yetu tutakua tunaiyumbisha aisee
  12. K

    Huyu Suleiman Kova ni Makamu wa IGP au ndio msemaji mkuu wa Jeshi?

    Itakua ni hulka yake kuongea sana tangia yupo mbeya
  13. K

    Rais Magufuli akamilisha uteuzi wa Baraza la Mawaziri, Makame Mbarawa abadilishiwa Wizara

    Hongera JPM kwa kusikiliza maoni ya wana jf ila kwa Magembe duuuuuuu!
  14. K

    Ukweli wa kifo cha Deo Filikunjombe

    Kila mtu atakufa kwa style yake mwacheni Deo apumzike kwa amani jamani
Back
Top Bottom