Wanasiasa Wanao Tafuta Kiki Baada Ya Mwaka Kuwapoteza

2013

JF-Expert Member
Aug 2, 2011
11,360
6,069
Wanasiasa Waliopo Na Waliostahafu 2015, Dr.Slaa, Zito, Warioba, Vasco, Lipumba. Nk Kwa Namna Fulani Wamejieleza Na Kujionyesha Hadi Kwenda Ikulu Ili Warudi Kwenye Chati. Sijui Kama Watized Watawaelewa. Bado Wanahangaika Kufukua Makaburi Walimozikwa Na Kujizika, While Life Goes On. Hata Hivyo Inaonyesha Maisha Yanawezekana Bila Wao. Wangeendelea Tu Na Biashara Nyingine Sio Lazima Siasa, Pesa Wanayo. Somo Tulilopata, Bila Tume Huru, Upinzani Ni Ndoto Kufika Magogoni.
 
Hao wengine wanaotafuta kiki baada ya kustaafishwa na wananchi
 

Attachments

  • 1451210144015.jpg
    1451210144015.jpg
    59.4 KB · Views: 308
Wanasiasa Waliopo Na Waliostahafu 2015, Dr.Slaa, Zito, Warioba, Vasco, Lipumba. Nk Kwa Namna Fulani Wamejieleza Na Kujionyesha Hadi Kwenda Ikulu Ili Warudi Kwenye Chati. Sijui Kama Watized Watawaelewa. Bado Wanahangaika Kufukua Makaburi Walimozikwa Na Kujizika, While Life Goes On. Hata Hivyo Inaonyesha Maisha Yanawezekana Bila Wao. Wangeendelea Tu Na Biashara Nyingine Sio Lazima Siasa, Pesa Wanayo. Somo Tulilopata, Bila Tume Huru, Upinzani Ni Ndoto Kufika Magogoni.

Hamjui mnachotaka,sasa kama tatizo ni tume mtaendelea kumnunia magufuli mpaka lini wakati yeye ndio muanzisha mchakato
 
wanasiasa waliopo na waliostahafu 2015, dr.slaa, zito, warioba, vasco, lipumba. Nk kwa namna fulani wamejieleza na kujionyesha hadi kwenda ikulu ili warudi kwenye chati. Sijui kama watized watawaelewa. Bado wanahangaika kufukua makaburi walimozikwa na kujizika, while life goes on. Hata hivyo inaonyesha maisha yanawezekana bila wao. Wangeendelea tu na biashara nyingine sio lazima siasa, pesa wanayo. Somo tulilopata, bila tume huru, upinzani ni ndoto kufika magogoni.


fisadi kujifanya kuchunga ng'ombe hii ni kiki ya karne..hakuna atakayevunja rekodi ya hii kiki
 
Wanasiasa Waliopo Na Waliostahafu 2015, Dr.Slaa, Zito, Warioba, Vasco, Lipumba. Nk Kwa Namna Fulani Wamejieleza Na Kujionyesha Hadi Kwenda Ikulu Ili Warudi Kwenye Chati. Sijui Kama Watized Watawaelewa. Bado Wanahangaika Kufukua Makaburi Walimozikwa Na Kujizika, While Life Goes On. Hata Hivyo Inaonyesha Maisha Yanawezekana Bila Wao. Wangeendelea Tu Na Biashara Nyingine Sio Lazima Siasa, Pesa Wanayo. Somo Tulilopata, Bila Tume Huru, Upinzani Ni Ndoto Kufika Magogoni.

Hao wengine wanaotafuta kiki baada ya kustaafishwa na wananchi
mkuu Duppy..... umempa huyu bwe'ge anachostahiki. safi sana
 
Back
Top Bottom