Grade Mpya za matokeo Necta ni jipu, Limepata mtumbuaji..

General Mangi

JF-Expert Member
Dec 21, 2013
15,303
23,061
Wakuu kama tulivyoona mkuu kamteuwa Dr Ndalichako ambaye alikuwa katibu mkuu wa Necta baada ya kujiuzulu.

Ingawa haikuwekwa wazi, ila ni kweli Ndalichako alijiuzulu baada ya kukaidi kushusha grade za matokeo mwaka 2012 pale ilipo onekana wamefeli sana.

Hizi grade za mauwa za kumfurahisha Kikwete na kawambwa zimetuvunjia heshima mtaani.

Mtu Una B ya physics iliyokuwa inaanzia 64-75 lkn leo vitoto vya digitali akipata 50 nayo ni B afu analeta zarau.

Tunaomba Dr Ndalichako ufanye kile kinnachopaswa kufanywaa.
Rejesha heshima iliyopotea katika elimu.

Moderator, Invisible msiitumbuee hii post, mana mliifanya ni jipu
 
Last edited by a moderator:
Nimefurahishwa na kuteuliwa kwa huyu Mama, elimu yetu toka 2008 imeshuka kwa kasi sana... Walimtengenezea zengwe mpaka ukatibu Necta ukawa chungu... Ni imani yangu utakagua vyeti vya watumishi wa umma kwanza maana vimeghushiwa vingi sana....
 
Kweli mkuu, siku hizi kupata B ya Mathematics imekuwa rahisi sana, naunga mkono grade za kipindi chake cha ukatibu mkuu NECTA pale zirudishwe, tuendelee kuheshimiana.
 
Kweli mkuu, siku hizi kupata B ya Mathematics imekuwa rahisi sana, naunga mkono grade za kipindi chake cha ukatibu mkuu NECTA pale zirudishwe, tuendelee kuheshimiana.

Issue ni kuheshimiana tu huko mitaani????
 
hata aliyepata zero kwa kipindi cha ndalichako anasema elimu rahisi kipindi hiki hivyo anadhani zero yake ni one ya sasa
 
Wakuu kama tulivyoona mkuu kamteuwa Dr Ndalichako ambaye alikuwa katibu mkuu wa Necta baada ya kujiuzulu.

Ingawa haikuwekwa wazi, ila ni kweli Ndalichako alijiuzulu baada ya kukaidi kushusha grade za matokeo mwaka 2012 pale ilipo onekana wamefeli sana.

Hizi grade za mauwa za kumfurahisha Kikwete na kawambwa zimetuvunjia heshima mtaani.

Mtu Una B ya physics iliyokuwa inaanzia 64-75 lkn leo vitoto vya digitali akipata 50 nayo ni B afu analeta zarau.

Tunaomba Dr Ndalichako ufanye kile kinnachopaswa kufanywaa.
Rejesha heshima iliyopotea katika elimu.

Moderator, Invisible msiitumbuee hii post, mana mliifanya ni jipu

Unaongea point mkuu ila ningependa ubadirishe hilo jina lako
 
Last edited by a moderator:
yaani uyu mama Ndalichako namkubali sana kipindi chake ata div 4 ilikua inaeshimika lakini siku hizi ni majanga watoto wanabebwa cjui ndo mpango wa BRN?
 
ila waislam tuuujiandae kwani huyu mama ni mdini nasijui karudishwaje ? hao ndo mambo ya kitengo? mmh aya waislam tutaisoma namba adui yetu karudi!!!!!
 
ila waislam tuuujiandae kwani huyu mama ni mdini nasijui karudishwaje ? hao ndo mambo ya kitengo? mmh aya waislam tutaisoma namba adui yetu karudi!!!!!

Aisee tuna safari ndefu sana ,wewe endelea kusema adui yenu karudi wakati kwenye shule za kanisa wana pass mark zao ambayo lazima ufikie ndio uweze kwenda mbele ,mnafurahia Jk alivyoharibu elimu kesho na keshokutwa muanze kulalamika oh wakristo sijui wanapewa nafasi nzuri ,sasa unategemea mseminari aliyesoma vizuri na hawa wa kufaulishwa bila kujua kusoma na kuandika hizo post nzuri watapewa kina nani ?? Jengeni shule jamani,wapelekeni watoto shule ,vinginevyo tutaendelea kulaumiana tu
 
sikujua kama ni watoto humu. kwa hiyo huko mitaani mnatambiana kuwa aithee mimi nina banda la maths! au! sasa nimeelewa ndo maana huyo mateka wa mbowe/lowassa ibilisi (aliyelaaniwa) huishia kuandika pumba tu humu.

Kweli mkuu, siku hizi kupata B ya Mathematics imekuwa rahisi sana, naunga mkono grade za kipindi chake cha ukatibu mkuu NECTA pale zirudishwe, tuendelee kuheshimiana.

Wakuu kama tulivyoona mkuu kamteuwa Dr Ndalichako ambaye alikuwa katibu mkuu wa Necta baada ya kujiuzulu.

Ingawa haikuwekwa wazi, ila ni kweli Ndalichako alijiuzulu baada ya kukaidi kushusha grade za matokeo mwaka 2012 pale ilipo onekana wamefeli sana.

Hizi grade za mauwa za kumfurahisha Kikwete na kawambwa zimetuvunjia heshima mtaani.

Mtu Una B ya physics iliyokuwa inaanzia 64-75 lkn leo vitoto vya digitali akipata 50 nayo ni B afu analeta zarau.

Tunaomba Dr Ndalichako ufanye kile kinnachopaswa kufanywaa.
Rejesha heshima iliyopotea katika elimu.

Moderator, Invisible msiitumbuee hii post, mana mliifanya ni jipu
 
sikujua kama ni watoto humu. kwa hiyo huko mitaani mnatambiana kuwa aithee mimi nina banda la maths! au! sasa nimeelewa ndo maana huyo mateka wa mbowe/lowassa ibilisi (aliyelaaniwa) huishia kuandika pumba tu humu.

Sasa wewe mkubwa ulichokiandika ni nin hapa?

Akili yako na uwezo wako wa kufikiri ndio umeishia hapo???
 
Asante JPM kwa kutuletea jembe la kazi katik elimu hakika Mama Ndalichako pengo lako limeonekan baada ya siasa kujaa kwenye elimu,ili kuwafurahisha watu fulani fulan ,hamna udini wala nn ,hapa kazi tu asiyejua akatwe
 
ila waislam tuuujiandae kwani huyu mama ni mdini nasijui karudishwaje ? hao ndo mambo ya kitengo? mmh aya waislam tutaisoma namba adui yetu karudi!!!!!

sitaki kusema kuwa waislamu akili zenu ndogo ila kuna baadhi yenu kama ww ni janga. Ww unaona vzr alivyofanya kikwete? Mbona mnapenda kulalamika na kutafuta huruma pasipo na maana?
 
slide15.jpg
 
ila waislam tuuujiandae kwani huyu mama ni mdini nasijui karudishwaje ? hao ndo mambo ya kitengo? mmh aya waislam tutaisoma namba adui yetu karudi!!!!!

Adui yako sio Adui yetu wewe Muislamu wa Msikiti Upi
 
Back
Top Bottom