Recent content by Kenfurah

  1. Kenfurah

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Binafsi sijui..lakini ukishagundua idadi yao itakusaidia nini? Kumbuka hata kama wameomba watu 100, na nafasi inahitajika moja, bado yaweza kuwa ndio yako hiyo nafasi.
  2. Kenfurah

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Duuh..kweli kila stage ina stress yake, sikutarajia kama tunaweza kaa muda mrefu hivi, dah
  3. Kenfurah

    Je, kujitolea itumike kama kigezo cha kuajiriwa?

    Ubaya ni kwamba, hata hizo nafasi za kujitolea zinatolewa kwa kujuana. Kuna ambaye yuko nyumbani anatamani ajitolee ila anakosa wa kumshika mkono. Ukisema anayejitolea umuajiri na asiyejitolea umuache ni kumuonea. Watu waajiriwe kwa kufanya interview na kufaulu basi.
  4. Kenfurah

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mimi bado inaniandikia "no placement found"
  5. Kenfurah

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Napenda kumshukuru Mungu, nimelamba mrija wa asali baada ya kuhustle miaka 4. Kwangu bado ni kama ndoto, sina hata mengi ya kuandika...Nawaombea wote ambao bado mnatafuta Mungu akawaonekanie!
  6. Kenfurah

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ilibidi nikachek upya, naona ni waislamu tupu mkeka mzima
  7. Kenfurah

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Sijajua kwa wengine...ila sisi ilikua aliyewahi kuandika jina kwenye list basi ndio wanafuata hiyo. Na kama mtu ana special case either mgonjwa/ananyonyesha/mlemavu anapewa kipaumbele afanye awahi kutoka Unaweza hata kuwaomba wenzio uingie wa kwanza kama una private concern Suala la marks za...
  8. Kenfurah

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Yeah, nahisi hivyo..hasahasa sisi tunaosubiria za OUT zingine nadhani ni muda sasa umewadia wa kujua mbivu au mbichi
  9. Kenfurah

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kama cheti ni fake, wakikiangalia tu wanakigundua na hawaruhusu mtu afanye usaili. Wako makini sana wale, hawaangalii tu mfanano wa majina. Nimeshashuhudia
  10. Kenfurah

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hili jambo la msingi sana, nilishawahi kukosa interview hivi hivi kisa venue kubadilika. Uzuri nilikua na interview mbili siku hiyo, so nikaishia kufanya moja tu iliyobakia. Wanabadilisha venue kimya kimya, sijui ndo kuchuja watu kijanja
  11. Kenfurah

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hapana...nilitoka huko! Ujobless na Dar niliona haviendani[emoji1787]
  12. Kenfurah

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Naomba niassume hauko serious...kwanza hata haja ya kuicheck hiyo pdf ya interview sijui unaitoa wapi wakati una placement tayari
  13. Kenfurah

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Sorry nilimaanisha "Selected for null"
  14. Kenfurah

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kwa hiyo kwa kifupi... SELECTED FOR ORAL (Green) kwenye app maana yake ujiandae kujiona pdf Si ndio mkuu?[emoji38][emoji38] Japokua hizi status mimi sikuwa naziamini tena
Back
Top Bottom