Inaweza kuwa na ukweli lakini siyo UDSM tu vyuo vingi inaweza kuwa hivyo na hata vya huko nje.Kwa maana kama first degree tunasoma General knowledge sasa kujua hicho ulichokisema ni kuwa wapo wanaojua wamesoma hapo udsm ila inategemea baada ya kumaliza degree yako umeanza kufanya kazi kwenye...
Kiufupi vyuo vyote(DIT & COET) ni vizuri uzuri wa mtu hauangalii chuo alichosoma ila ni juhudi yake na bidii katika masomo na kujituma akiwa kazini hizi zingine hapa ni mbwembwe na ushabiki tu.Maana ukienda kazini unakuwa na General knowledge ya Engineering sasa kujituma kwako kule kazini na...
Tatizo wewe mtoa mada hii hukumwelewa Ndalichako unaanza kukurupuka tu na kuanza kuwataja waheshimiwa bila kufanya uchunguzi walisoma mfumo gani wa elimu. Ndalichako kasema kama umefaulu vizuri form four ukaenda kusoma Ordinary Diploma/FTC katika vyuo vya Ufundi kama DIT ,TCA au MTC na ukafaulu...
Tatizo wewe inaonyesha upeo wako mdogo. Haiwezekani hata kidogo na wala haitawahi tokea Engineer awe sawa na fundi anayejenga kwa matofali mtaani au anayefanya wiring za umeme . Inaonyesha wewe una chuki binafsi na fani za watu. Engineer atabaki kuwa Engineer na fundi atabaki kuwa fundi
Dogo sijakuelewa lengo lako ni nini kufanya comparison ya watu ambao wako fani tofauti.Kila fani ni nzuri awe mwalimu,doctor,Mhasibu au Engineer inategemea wewe unapendelea nini.Huwa tunasema tu mara nyingi Doctor Fulani ni mzuri kuliko Doctor Fulani labda kwa upande wa kinamama.watoto n.k. Pia...
Habari Dr
Nimetokewa na vipele vingi vidovidogo mikononi na miguuni tu. Vipele haviwashi wala haviumi. Nimeenda hospital wakanipima damu wakasema inawezekana ni allegy kutokana na vyakula ninavyotumia.Akanishauri nikapime kipimo cha allegy ambacho bado sijakifanya.Wakanipa dawa ya kupaka tu...
Mimi ni mwanaume.Kuna tatizo limenitokea kupoteza hamu ya kufanya tendo la ndoa. Nakula na kulala vizuri wala sina mawazo yoyoe ila nimepoteza ghafla hamu yakufanya tendo la ndoa na mpenzi wangu tangu mwaka jana.
Tunaweza kulala naye kitanda kimoja kwa siku mbili mpaka tatu bila ya kuwa na...
Gazeti lenyewe la udaku wala mimi huwa sina muda wa kusoma wala kuanglia magazeti kama hayo. Sanasana kina mama wa majumbani na wale kinadada wa mitaani uswahilini ndiyo utakuta wanasoma magazeti kama hayo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.