Shule za kilimo zilishafutwa na kujaza form five na six sasa hapo kilimo kinasongaje mbele kama hatuwekezi kwenye elimu ya kilimo na ufugaji kwa Watoto wetu.
Nimejisikia vibaya sana hii story kukatishwa kwa sababu ya ujuaji wa watu wachache.
Lakini mtoa mada kama utamua kutujali sisi tuliokuwa tunafuatilia na kujifunza naomba ufanye jambo moja kwa ajili yetu Andika stori yako mpaka iishe the upositi vipande vyo vilivyobakia kwa pamoja.
Hii itasaidia...
Bashe ni mmoja wa mawaziri bora kuwahi kutokea katika nchi.
Bashe ndo atayeinua secta ya kilimo.
Wewe unataka upate mshahara mkubwa alafu ununua mahindi yetu kwa bei ya chini,wakati gharama za uzalishaji ziko juu.
Kweli kabisa.
Napata ugumu sana kuelewa nia ya viongozi wetu utakuta mtu sahihi anaondolewa kwenye wizara analetwa mtu ambaye hawezi kumsaidia mwananchi wa kawaida.
Kalemani na Sospeter Mhongo walijitahidi kwenye wizara ya Nishati.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.