Recent content by Ken Saro Wiwa

  1. Ken Saro Wiwa

    Warembo wa Bukoba

    Write your reply...Kumbe wa Maruku wamekomaa hivi!!
  2. Ken Saro Wiwa

    Je Bunge la Tanzania linafanya kazi ya uzalendo kwa Watanzania au ni kazi zao binafsi?

    Alichokisema CAG hakina tofauti na wimbo wa mkuu wa nchi kuhusu Upigaji wa dili unaofanywa na watanzania na bunge linafumba macho na halina habari. Wacha CAG amsaidie mkuu wa nchi.
  3. Ken Saro Wiwa

    Hatimaye Israel kusarenda mbele ya Urusi

    Tumeshuhudia miezi michache iliopita Israeli ilifanya mauaji ya kinyama dhidi ya jamaa zao Wapalestina , Israel iliwaua Wapalestina zaidi ya 60 kwa kosa la kufanya maandamano kupinga ubalozi wa Marekani kuhamishwa kutoka Teraviv kwenda Jerusalem. Walio wengi walipongeza na kuita mauaji teule...
  4. Ken Saro Wiwa

    Hatimaye Israel kusarenda mbele ya Urusi

    Tumeshuhudia miezi michache iliopita Israeli ilifanya mauaji ya kinyama dhidi ya jamaa zao Wapalestina , Israel iliwaua Wapalestina zaidi ya 60 kwa kosa la kufanya maandamano kupinga ubalozi wa Marekani kuhamishwa kutoka Teraviv kwenda Jerusalem. Walio wengi walipongeza na kuita mauaji teule...
  5. Ken Saro Wiwa

    M-Pesa sio salama

    Unamaanishaje? Sheria za nchi Ndiyo zinabeba lawama hii?
  6. Ken Saro Wiwa

    Tulionya tukapuuzwa, Laana ya Dr. Slaa ni kali

    Wewe muite nyumbu lakini alichokise ni cha msingi kuliko wanachofikiria wafuata upepo kama wewe.
  7. Ken Saro Wiwa

    M-Pesa sio salama

    Kama utatoa pesa usiyoijua chanzo chake hutakwepa kuitwa mwizi. Na ukijifanya kushtaki utanyea ndoo tu kwani sheria ni msumeno na watoa hukumu mahakamani Hutumia references mbalimbali kabla ya kutoa hukumu.
  8. Ken Saro Wiwa

    M-Pesa sio salama

    Hapana huu si ushauri mzuri. Nadhani ipo haja ya vodacom kuboresha mifumo ya ulinzi wa fedha ili kuwalinda wateja wema. Ulinzi huu ni pamoj a na kuweka deni kwenye akaunti ya mteja aliyetumiwa kimakosa ili atakapoweka fedha akatwe. Tunailalamikia Vodacom kwa kuwa ndiyo walengwa katika thread...
Back
Top Bottom