Hatimaye Israel kusarenda mbele ya Urusi

Hatimaye Israel kusarenda mbele ya Urusi

Wajerumani waliwafanya nn??Israel anabahati anapakana na nchi dhaifu sana kuanzia kiuchumi etc..
Hata vita alivyopigana US na baadhi ya mataifa ya ulaya yalikua yanatoa msaada mkubwa sana hasa ya silaha....
Ni aibu sana kupigana na mtu anaetumia manati/kombeo halafu unajitapa...
 
weka hata hiyo link ya kufikia hiko chanzo if possible
 
Waherumani wajaribu kwa sasa? nchi nyingi zinazoizunguka israel ni kubwa kuliko israeki yenyewe, wanaidadi kubwa ya watu na wanajeshi wengi. Bado wamewashindwa
Wajerumani waliwafanya nn??Israel anabahati anapakana na nchi dhaifu sana kuanzia kiuchumi etc..
Hata vita alivyopigana US na baadhi ya mataifa ya ulaya yalikua yanatoa msaada mkubwa sana hasa ya silaha....
 
sio lazima uonekane unatoa uzi ,muda mwingine kuwa mchangiaji tuu,sasa wapi umeelezea why Israel ime surrender?unapotoa mada waka nyama ili ukweli uwepo,naona umekurupuka bila ya kufanya utafiti wa kina,na elewa hizo Missile S300 sio kuwa ni water tight kuzuia mashambulizi ya ndege na elewa equipments hizi zinategemea zaidi wanao zioperate,S300 inaweza kuwa ni silaha nzuri ila nchi husika ina uwezo wa kuzitumia?kumbuka vita ya Misri na Israel miaka hiyo kwenye jangwa la Sinai kuhusu ile Raddar ya kirusi,waisrael waliweza kuiteka na kuifunga kwenye helicopter yao na kuirudisha Israel.
Ni wenye akili tu kama sisi ndio tutakaokuelewa lkn wale "Religious Bigots" kama kawaida yao watakuja kujilipua humu.
 
Kwanza Russia wajue kuwa uamuzi wao wa kuleta hiyo Air defence system nchini Syria ndio kabisa itazidi kuzidisha mgogoro wa Syria na sasa amani ktk nchi hiyo haitakuwepo tena.

Hiyo S 300 itawindwa na itakuja kusambaratishwa vibaya, wao wasubiri tu watakuja kuona wenyewe.

Russia wasijidanganye kuwa technology yao ndio Alpha and Omega, kuna wanaume bado wanawalia tu timing.
 
Ni kweli kabisa yaani hata Israel wakifanya vibaya kwao ni nzuri tu
Tumeshuhudia miezi michache iliopita Israeli ilifanya mauaji ya kinyama dhidi ya jamaa zao Wapalestina , Israel iliwaua Wapalestina zaidi ya 60 kwa kosa la kufanya maandamano kupinga ubalozi wa Marekani kuhamishwa kutoka Teraviv kwenda Jerusalem. Walio wengi walipongeza na kuita mauaji teule, Swali Langu "" hivi amri ya USIUE hawa waisrael haiwahusu,?
 
Ni kweli kabisa yaani hata Israel wakifanya vibaya kwao ni nzuri tu
Tumeshuhudia miezi michache iliopita Israeli ilifanya mauaji ya kinyama dhidi ya jamaa zao Wapalestina , Israel iliwaua Wapalestina zaidi ya 60 kwa kosa la kufanya maandamano kupinga ubalozi wa Marekani kuhamishwa kutoka Teraviv kwenda Jerusalem. Walio wengi walipongeza na kuita mauaji teule, Swali Langu "" hivi amri ya USIUE hawa waisrael haiwahusu,?
 
Ukweli utabaki ukweli tu!marekani na Israel wamegwaya kwa Mrusi Kama huamini mbona wamesitisha f35 isiruke?s300 ni kiboko
 
Tumeshuhudia miezi michache iliopita Israeli ilifanya mauaji ya kinyama dhidi ya jamaa zao Wapalestina , Israel iliwaua Wapalestina zaidi ya 60 kwa kosa la kufanya maandamano kupinga ubalozi wa Marekani kuhamishwa kutoka Teraviv kwenda Jerusalem. Walio wengi walipongeza na kuita mauaji teule, Swali Langu "" hivi amri ya USIUE hawa waisrael haiwahusu,?
Umefikiria kwa akili ya kiwango cha chini sana,.
Maana: Naamini una akili nzuri na kubwa ila kwa maelezo yako umezingua sana.
 
Ukweli utabaki ukweli tu!marekani na Israel wamegwaya kwa Mrusi Kama huamini mbona wamesitisha f35 isiruke?s300 ni kiboko
Kamwe ata siku moja hawawezi ruhusu hiyo f35 kwenda Syria sababu wanajua ikipigwa watapoteza soko lake na mrusi silaha ndio zitapata soko maana mataifa yote yatakimbilia kununua S300
 
Back
Top Bottom