cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,317
- 7,509
Kwa mjibu wa katiba ya Tanzania ,Bunge la Tanzania ndio chombo kikuu cha kuisimamia serikali na taasisi zake zote
Kilichofanywa na Bunge la Tanzania leo ni kitu cha ajabu sana ambacho kwa mawazo ya kawaida au kwa kufikiria kawaida,nani anakomolewa hapa
Hivi Bunge la Tanzania linafanya kazi zao binafsi au wanafanya kazi za wananchi waliowachagua
Bunge la Tanzania kumsusia CAG kutofanya kazi naye nani anaumia? Nani anakomolewa? Nani atapata hasara?
Kwa majibu ya haraka sana ni kwamba wananchi ndo tunaumizwa
Wala CAG hana shida,washirikiane au wasishirikiane,mshahara na marupu rupu yake yapo pale pale,mwisho wa mwezi account yake inajazwa manoti
Bunge la Tanzania linamkomoa nani?
CAG anakagua hesabu na matumizi ya serikali,na Bunge katika kulisimamia serikali lazima waangalie CAG amegundua madudu gani ili Bunge litie pressure watu wachukuliwe hatua,najiuliza kazi ya Bunge la Tanzania itakuwa ipi hapo Bungeni?
Kwa kweli watanzania tumepotea sana kuwa na Bunge kama hili
Utadhani Bunge ni kampuni badala kuwa chombo cha wananchi kinachomlika serikali' fedha inayokusanywa je inafanya kazi kama ilivyoelekezwa au wanafanya mambo yao
Hili ni Bunge la ajabu,kususia CAG ni kumkomoa mwananchi wala hamjamkomoa CAG
Sent using Jamii Forums mobile app
Kilichofanywa na Bunge la Tanzania leo ni kitu cha ajabu sana ambacho kwa mawazo ya kawaida au kwa kufikiria kawaida,nani anakomolewa hapa
Hivi Bunge la Tanzania linafanya kazi zao binafsi au wanafanya kazi za wananchi waliowachagua
Bunge la Tanzania kumsusia CAG kutofanya kazi naye nani anaumia? Nani anakomolewa? Nani atapata hasara?
Kwa majibu ya haraka sana ni kwamba wananchi ndo tunaumizwa
Wala CAG hana shida,washirikiane au wasishirikiane,mshahara na marupu rupu yake yapo pale pale,mwisho wa mwezi account yake inajazwa manoti
Bunge la Tanzania linamkomoa nani?
CAG anakagua hesabu na matumizi ya serikali,na Bunge katika kulisimamia serikali lazima waangalie CAG amegundua madudu gani ili Bunge litie pressure watu wachukuliwe hatua,najiuliza kazi ya Bunge la Tanzania itakuwa ipi hapo Bungeni?
Kwa kweli watanzania tumepotea sana kuwa na Bunge kama hili
Utadhani Bunge ni kampuni badala kuwa chombo cha wananchi kinachomlika serikali' fedha inayokusanywa je inafanya kazi kama ilivyoelekezwa au wanafanya mambo yao
Hili ni Bunge la ajabu,kususia CAG ni kumkomoa mwananchi wala hamjamkomoa CAG
Sent using Jamii Forums mobile app