Recent content by Kelvin Mmary

  1. K

    Kwanini Mungu alikubali mwanae pekee afe ili tuokolewe na sio kumuua shetani aliye chanzo cha dhambi zote?

    Kasome Biblia vizuri Aliyekusimulia izoo stori kakuingiza chaka balaa [emoji2357]
  2. K

    ARSENAL FANS TANZANIA TUPEANE 5

    Ushindi wa leo ulikua ni uhakika Goli 4 nyepesi point 3 za uhakika THE GUNNERS [emoji95] Arsenal arsenal fan
  3. K

    Anayejua masuala ya stocks in Tanzania

    Nauliza kwa anayejua kuhusu masuala ya investing kwenye stock na mutual funds tuwasiliane please.
  4. K

    High Court land division, kuna shida kubwa, CJ wape semina hawa majaji tafadhali!

    As a matter of practise INABIDI TUWASHANGAE KWA KWELI lakini tukumbuke hakuna EXPRESS PROVISION inayo specify wanachofanya ni contrary to the law. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. K

    Je, Mtoto wa kambo ana haki ya kurithi mali?

    Mr.David kabla ya kuzungumzia mirathi ni muhimu kujua - DINI yako kwanza na je umeaandika Wosia ?!?! Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom