Recent content by KELVIN GASPER

  1. KELVIN GASPER

    TANZIA Beki Ally Mtoni Sonso afariki dunia, amewahi kuichezea Taifa Stars na klabu za Yanga, Kagera Sugar, Lipuli

    Beki wa KMC, Ally Sonso amefariki dunia leo katika Hospitali ya Muhimbili alipokuwa amelazwa akisumbuliwa na jeraha la mguu. Marehemu enzi za uhai wake aliwahi kuchezea timu za Yanga, Lipuli, Kagera Sugar na Ruvu Shooting.
  2. KELVIN GASPER

    Tatizo la kuwashwa mwili mara kwa mara- Fahamu chanzo, pata ushauri na tiba ya tatizo hili

    Mkuu nitajie hiyo dawa nami nina hilo tatizo Sent using Jamii Forums mobile app
  3. KELVIN GASPER

    Ugonjwa gani huu

    Naombeni tiba ya ugonjwa huu nateseka toka December mwaka jana Sent using Jamii Forums mobile app
  4. KELVIN GASPER

    Rais Magufuli amemfukuza kazi Kamanda wa TAKUKURU Mkoa wa Mtwara

    Kisa hayupo kwenye msafara wa mkulu. ===== RAIS MAGUFULI AMTIMUA KAZI KAMANDA WA TAKUKURU MTWARA Rais Magufuli amemfukuza kazi Kamanda wa TAKUKURU Mkoa wa Mtwara baada ya kumuita mkutanoni Masasi akawa hayupo Amuagiza Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Brigedia Jenerali John Mbungo kuteua...
  5. KELVIN GASPER

    Arusha: Tetemeko la ardhi latokea. Hakuna madhara yaliyoripotiwa

    Limepita dakika tano zilizopita. Maeneo ya mafao house tupo salama.
  6. KELVIN GASPER

    Jambo CHADEMA kukataa kuhamia Dodoma

    Maccm yamekimbia dar baada ya kujua ukawa wameiteka dar
Back
Top Bottom