KELVIN GASPER
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,066
- 454
Limepita dakika tano zilizopita. Maeneo ya mafao house tupo salama.
kweli kabisa kumbe sijalisikia peke anguLimepita dakika tano zilizopita. Maeneo ya mafao house tupo salama.
Hawa waliumbwa waishi mkuuVp gambo amepona?
kweli kabisa kumbe sijalisikia peke angu
Acha utani ndugu unazijua dakika 5 ww unaziskiaLimepita dakika tano zilizopita. Maeneo ya mafao house tupo salama.
si mtaalamu sana kati ya 2-3 ritcher scaleKwa uzoefu wako linaweza kuwa la ukubwa gani kwa kipimo cha Rishta......
Acha utani ndugu unazijua dakika 5 ww unaziskia
Tetemeko la ardhi litokee. Kwa dakika 1 tu tungeskia dar mzima hiii kama kuna maafa yametokea leo useme dakika tano haaa sema limepita sekunde 1 nasio dakika 5 hebu uliza io kitu utambiwa
Limepita dakika tano zilizopita. Maeneo ya mafao house tupo salama.
Hadi Manyara limetikisaLimepita dakika tano zilizopita. Maeneo ya mafao house tupo salama.
labda ujamuelewa vizuri anasema limetokea dakika tano zilizopita,,,,,Acha utani ndugu unazijua dakika 5 ww unaziskia
Tetemeko la ardhi litokee. Kwa dakika 1 tu tungeskia dar mzima hiii kama kuna maafa yametokea leo useme dakika tano haaa sema limepita sekunde 1 nasio dakika 5 hebu uliza io kitu utambiwa