Recent content by Keller

  1. Keller

    Kesi ndogo ya Freeman Mbowe: Shahidi akamilisha ushahidi wake, Shahidi mwingine kuendelea tarehe 12/11/2021

    Tatizo mnajiona wote ni wanasheria kweli zuzu ni zuzu tu
  2. Keller

    Nina shamba lenye miti asili Mbingu Morogoro natafuta mtu mwenye vibali, mashine na usafiri tufanye biashara

    Mbingu sehemu gani kiongozi ? Miti ipo mingapi? Pia Shamba ukubwa gani?
  3. Keller

    Zitto: Rais hataki CAG amchunguze lengo ni kumuondoa amweke anayemtaka ili atapanye fedha atakavyo. Katibu wa Hazina ni ndugu yake...

    Kwani huyu wa sasa kawekwa na nani? Tumia akili zako sio za wanasiasa wanaogombana ni CAG na Spika .Kwani raisi alimtuma cag kuongea maneno yale? Muwe kumbukumbu sahihi huyu CAG ameweka na magufuli. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Keller

    Zitto: Rais hataki CAG amchunguze lengo ni kumuondoa amweke anayemtaka ili atapanye fedha atakavyo. Katibu wa Hazina ni ndugu yake...

    Hapo mkuu nimekupata Sana huyo zitto njaa imemzidi mambo yake hayaendi anabaki kuropoka tu wajinga ndio watamsikiliza mnafiki huyo Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Keller

    Natafuta soko la soya

    Habari mkuu? Nahitaji soya tano mia
  6. Keller

    IKULU: Waziri Mkuu Mstaafu, Lowassa amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Magufuli; akiri Rais anafanya kazi nzuri

    Aaaahahahahahahahah Angekuwa Sio Lowasa utasikia amenunuliwa aaaaahhahahaha kweli siasa mchezo wake hautaji hasira
  7. Keller

    Rais Kagame ashinda tuzo ya Kiongozi bora Afrika licha ya rais Magufuli kuongoza kwa kura

    Nimekupata Kiongozi Kwa Lugha Nyepesi Magufuli sio dictator ?
  8. Keller

    Tathmini ya Sayansi ya Siasa: Kuanguka vibaya kwa Upinzani ktk Uchaguzi Mdogo wa Madiwani wa Novemba 26, 2017

    Tume huru kiongozi sio suluhisho unakumbuka zanzibar uchaguzi uliopita na tume huru yao lakini matokeo umeyaona mwenyewe alichofanya Jecha.Suluhisho kubwa ni wapinzani wote kuwa wamoja pasipo ubinafsi wa kivyama kama ulipo sasa .Pia Mbowe asiwe mwenyekiti tena kwani sasa anafanya biashara ya...
  9. Keller

    Nawashauri CHADEMA wajiunge na CCM

    Kweli kiongozi sasa upinzani wanaigiza tu kwani lengo lao kuu linafanywa na Magu
  10. Keller

    Lema: Mh Rais, kwenye Uchaguzi wa Madiwani tumeshuhudia nguvu ya dola, siamini kama ni Tanzania kwa Uchaguzi wa aina hii

    Sawa sawa tu kwani haya yanayowakuta ni haki yenu kabisa hakuna uchaguzi ulioniumiza moyo wangu kama wa 2015 tumepambana sana mwisho wa siku mnatoa majibu rahisi kwenye maswali magumu paka leo hii sina imani na Chadema.Pia shemeji yangu Lema unavyofikilia wewe kila siku mnawaita polisi kuwa...
  11. Keller

    Ukweli usemwe: Intelijensia ya CHADEMA is super and unique. Maamuzi magumu ni yale tu!

    Kiongozi tatizo ya Chadema ukanda utawamaliza kwani hawaamini uongozi kutoka mbali na kanda yao,nguvu wanayotumia ni kubwa sana kurinda ukanda kuliko chama .Chama kinatakiwa kuwa mali ya watanzania wote hata kwenye maamuzi ya kichama na uongozi kwa ujumla.Chadema ikipoteza uelekeo wake au kufa...
  12. Keller

    Dkt. Louis Shika aeleza Magumu aliyopitia hadi akatoroka Urusi. Alitekwa na kukatwa Vidole, Tanzania ilimtelekeza...

    Kweli kiongozi kwani anaongea kweli yake pasipo kuteteleka,tatizo serikali zetu za afrika haziwapendi wananchi wake kwenye shida, wanapenda raha tu.
  13. Keller

    Wana CCM Tulifanya Makosa Makubwa 2015 Kumpendekeza Magufuli. Tusirudie makosa 2020

    AAAHAAHHAH punguza hasira kiongozi sasa namba unaisoma vilivyo,ulijua unatuimbia sisi kumbe imegeuka aaahahahahha sisi twasonga pasipo shaka
  14. Keller

    Wana CCM Tulifanya Makosa Makubwa 2015 Kumpendekeza Magufuli. Tusirudie makosa 2020

    Pole kiongozi najua mfumo umeumiss sana aahhhahahahahhhha Namkubali sana JPM ingawa kura sikumpa kabisa heshima sasa ipo kwa wote.
Back
Top Bottom