Pritty wa joseph
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,379
- 2,051
Mimi nahitaji kwa ajili ya kitengeneza unga wa lishe
Naomba namba yako nikuungishe
Naomba namba yako nikuungishe
<br /><br />Ahsante sana,ntajitahidi nami kutafuta contacts zao[quote uid=10655 name="Watu" post=16157814]Waone "<b>Silverlands Tanzania Limited</b>, a newly established agricultural company focused on animal feed and poultry production based in Iringa Tanzania"<br /><br />Nimejaribu google contas zao but in vain,
NijuzeHabari wadau,
Natafuta soko la Kuuza Soya,mimi ni mjasiriamali, so far nina soko moja (cliebt mmoja pekee Arusha), iwe ndani ya nchi au nje ya nchi,mwenye info anipatie,iwe hapa jukwaani au PM.
Kuna baadhi ya viwanda hapa nchini hutumia Soya pia kwa ajili ya kutengenezea Mafuta ya kupikia, nikipata eneo hilo la soko itakuwa vema.
Pia kuna baadhi ya viwanda vya kutengeneza chakula cha kuku nao hutumia Soya kama ingredient ya kutengenezea chakula cha kuku.
Nimetaja tu baadhi ya matumizi ili kuweza kutoa picha kwa wanaoweza nisaidia market info ya baadhi ya hayo maeneo niliyoyataja na ambayo sijayataja.
Natanguliza Shukran zenu.
Ulifanikiwa kupata Soko la soya mkuuThanks
To a offa yako kama una hitaji
Bei ni 1500/= kwa kiloMbona hutaki kuweka bei yako mkuu, hapa ndiyo unapata wateja ila sema kilo unauza sh ngapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari mkuu? Nahitaji soya tano miaBei ni 1500/= kwa kilo
Njoo pmHabari wakuu, Nina tafuta soko la soya ninazo nyingi Sana naomba kufaham masoko yake niwapi hasa maana kwa Sasa ninawauzia watu waliopo kwenye masoko yakawaida Ila nataman kupanua soko zaidi naomba tuwasiliane 0653240453, kitu kingine ambacho ninacho ni asali ya nyuki wakubwa Mbichi pamoja na nta zakutosha kabisa. Nawakaribisha Sana waheshimiwa tuweze kufanya biashara.
Waone "Silverlands Tanzania Limited, a newly established agricultural company focused on animal feed and poultry production based in Iringa Tanzania"
Nimejaribu google contas zao but in vain,