MrMaro
Member
- Aug 23, 2021
- 9
- 9
Habari wakuu Mimi nina SHAMBA LENYE MITI ASILI kama vile mininga na mingineyo, Mimi binafsi sina vibali vya kusafirishia Hivyo natafuta mtu mwenye vibali, pia akiwa na mashine kubwa (chainsaw) kwaajili ya kuchania mbao pia awe na usafiri wa kubebea mbao ili tuelewane tufanye BIASHARA. Napatikana kwa namba 0743097373 call/whatsapp