Mimi ni mbobezi wa maswala ya fedha/finance/accounts nina uzoefu wa miaka kumi. Niliingia kwenye ujasiriamali utawala uliopita, since 2016 mazingira yamebadilika na changamoto zimekua nyingi mno.
PM me for more details
Regards
Job seeker
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni mwananchi wa Kata ya Msigani wilaya ya Ubungo, Nimejaribu mara kadhaa kipitia Twitter kuwasiliana na nyinyi lkini majibu hua sipatagi, now mnimbie huu mradi wenu wa maji ambao unaendelea kwa kusua sua ni lini haswa tutaanza kuyapata maji majumbani mwetu, adha ya maji kwa upande huu ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.