Huna taarifa na kumbukumbu za kutosha. Kwa anayeijua biashara ya mahindi usithubutu kufikiri kwamba kama mwaka huu bei kipindi cha kulima ikawa kubwa kutopea kama Mara 4 ya bei ya mavuno, basi na mwakani itakuwa hivyo. Mfano, kipindi cha kupanda mahindi mwaka 2000 yalikuwa 10,000. Mwaka huohuo...
Kabla hujaandika haya, ungewasiliana na waliokutuma kwann wanakanyaga katiba ya nchi. Kwann uchumi umesinyaa. Kwann wanakanyaga sharia na kanuni za uhuru wa maoni na demokrasia
Tahmeed ya Mombassa to Dar, ni mbovu sijapata kuona. Nauli kubwa lakini gari mbovu hatari, viti vingi vibovu na hakuna Mikanda, viti havikunjuki, no AC na viburudisho hawagawi viburudisho. Nilijuuta kusafiri nayo ilikuwa October 2017
Kindorooobo kile ana uongo wa 1947's watumishi wanataka mishahara yenye tija, mazingira bora ya Kazi, thamani ya Kazi zao, professional growth. Nan kasema kipaumbele chao ni hizo computer? Kuwa aibu ewe grasshopper magufuli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.