Aisee juzi hapa,mpenzi wangu alipitia home na best ake! Ofcoz she's cute bwana(mashalaah) hamzidi kipenzi changu! and huyo shem ndie alikuwa na usafiri so nikama waliongozana tu!
Nikawakaribisha mangwair(sitingroom), story hapa na pale,huku tukipasha koo na movie mbili tatu! Shem huyo alikuwa akinisifia kuwa kuwa eti me mcheshi sana aisee!! Basi bwana hatimae wakaaga, kama kawaida yangu huwa sijivungi,walipofika kwenye gari makiss moto moto kwa mupenzi...
sasa Leo ikiwa zimepita siku 3 tu,Yule Shem kaja mwenyewe mangwair(ghetto),nikamkaribisha ndani, eti anamuulizia rafiki yake! Duh nikamjibu kwani Leo hamjaonana ofisini,bt maelezo yake hayajaeleweka,akaanza kujibaraguza eti basi naomba ile movie ambayo niliwawekea juzi akaitazame kwake,bila iyana nikampatia
Bt Wakati namtoa akaomba namba eti ili kama anairudisha anicall! Aisee
Nikagoma mwanaume kwakuhisi isije kuwa kamchezo nachezewa!
Anway wacha nione game inakoelekea!!