X-Agent
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 8,833
- 16,660
Almost wanafunzi wote wanategemea udhamini wa bodi ili hali uwezo wa bodi sio kwa kiasi hicho, naomba wazazi wafahamu kuwa sio lazima kwa mtoto kusomeshwa na serikali hivyo wajiandae mapema.
Kwa wanafunzi mnaolia kuwa wazazi hawana uwezo, trust me uwezo na nguvu wanazo ila nia ndo hawana! Maisha ya chuo bila boom yanawezekana (mimi ni mmoja wapo ) msiwe na woga wa maisha.
Wenzenu wakilipa deni la bodi nyie mtazitia kwenye kibubu, sahau bata, be strong, chakarika, fanya kazi yeyote wakati wa likizo ayo ndo maisha!
Bodi hamnipati!
Kwa wanafunzi mnaolia kuwa wazazi hawana uwezo, trust me uwezo na nguvu wanazo ila nia ndo hawana! Maisha ya chuo bila boom yanawezekana (mimi ni mmoja wapo ) msiwe na woga wa maisha.
Wenzenu wakilipa deni la bodi nyie mtazitia kwenye kibubu, sahau bata, be strong, chakarika, fanya kazi yeyote wakati wa likizo ayo ndo maisha!
Bodi hamnipati!