Jamani kusema kweli Kama alivyoelezea alieanzisha uzi huu hii nchi kila mahali kupata documents za kumiliki ardhi ni changamoto kweli.. Na kupata Vibali vya ujenzi ndio usiseme.. Nafikiri mheshimiwa waziri angeanza Kwanza Na kurekebisha hii mifumo iweze kusaidia wananchi ndio aanze kuwabomolea...
kiukweli kwa mwendo huu ATCL hawatawaweza Fastjet juzi Mimi nimekata ticket go and return Mwanza Dar kwa sh laki tatu wakati ATC walikua 434,000/- tena wadada wenyewe apa kwenye ofisi za Mwanza ata customer service bado sana
Na ndio maana hatuchangii kwa kingereza kwani kiba alizuiwa kuongea kiswahili?? angeafunguka tu kw alugha mama na angejielezea vizuri tu na kwa nafasi kama mwenzake baraka the prince na mkalimani wake
Ni kweli ni aina ya gari chache sana Mshana na nashukuru Nimekaa nayo mwaka wa tatu sasa Ndo spare part ya kwanza nabadilisha.. Sijui ni ilala sehemu gani haswa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.