Acha kufananisha tecno na vitu vya kijinga wewe hapa tunaongelea tecno siyo ccmAkija huyu ataweka Data mpaka mtamchukia na TECNO zenu![]()
![]()
![]()
Mkwawa na Tecno ni sawa na Magufuli na Sifa za Kijinga
We ndiyo majua mnaotembea na maguruneti ya Samsung sijui mnataka kuwa alshabbabKuliko ninunue simu ya tecno bora Hiyo hela nikale viepe yai na Mount dew ya baridiiiiiiiiiiiiiiiiiiii na watoto wazuri wa pale chuo cha IFM
Sasa umejuaje kma wote waliopo hapa ni watanzania? Sim gani hata watumiaji wake hawajui makao makuu yakeUnajua kwa nn Tanzania ujinga hauishi?... Ni kwa sababu ya watu Kama Hawa.. Mtu kauliza kingine afu unatoa jibu Tofaut kabisa.
Nafuu starlet ni starehe atakua na bito injini nyumaUtakuta mtu anakandia tecno wakati huohuo anaendesha starlet.
hahahaa wengine wanatembea on foot aseeUtakuta mtu anakandia tecno wakati huohuo anaendesha starlet.
Alafu anaishi kwenye chumba cha kupangaUtakuta mtu anakandia tecno wakati huohuo anaendesha starlet.

Hiyo ndio aina gani ya simu mkuu? Au brand mpya imetoka?Hivi kumbe kuna watu bado wanafikiria kununua techno..
Ipo fresh mkuu ina kitanda, nyumba vyakula nk. Hutojuta mkuu
m b a v u u u u u zangu mie