Recent content by Kechegwa

  1. Kechegwa

    Jezi au atlas?

    Jezi ni Kali sema kunakitu kimoja hawakuwa makini.walitakiwa wawe wabunifu ingenoga. RAMANI ya Afrika. Hapa ndio wabunifu kidogo wameteleza, Najua dhsmira yao ilikuwa ni kuleta maudhui na maana halisi ya Young Africa . Lakini ukubwa wa mchoro Wa ramani hiyo imeharibu muonekano Wa jezi. Haswa...
  2. Kechegwa

    Jezi au atlas?

    Weka picha ya jez kwanza
  3. Kechegwa

    Leo naweka 'Utani' wangu pembeni kabisa na naomba wana Simba SC Wenzangu 'Mnisamehe' ila kwa huyu Michael Sarpong Kazi ipo Kwetu na Tuisila abadilike

    Aisee hebu nikalale maana naona kama macho yangu yananiongopea kwa hichi ninacho kisoma.
  4. Kechegwa

    Yanga ni ile ile

    Hahaa hahaaa! Yaan hapa nawacheka kwa dharau nyinyi Mikia mnavyo hangaika. Yaan mmekuwa sawa na mwanaume unapoachwa na mwanamke.Akiwa nje ya hadhira hujaribu kutoa kashfa na matusi kadhalika kumponda mwanamke huyo, Baadae akikumbuka utam na ubora wamwanamke yule hujifungia chumbani na...
  5. Kechegwa

    Ivi Hawa Majirani Zetu wa Jangwani Wamekosa hata Mtu wa Kuwashauri kwenye Mavazi? Kweli kumuiga Simba SC bila hela ni kushindana na Tembo Kunya Boga

    Ebwana we,Hawa no Yanga au Real Madrid? Aisee Hongera sana Gsm vijana wametokelezea ile kifayaa!!! Motoooo, konkiiii Wape salaaam ,hii ndio maana halisi ya tm kubwa. We'll done wananchi.
  6. Kechegwa

    'Injinia' Hersi Said wa Yanga SC na GSM yako ni lini utaacha 'Uwongo' wako na kupenda 'Kuwadanganya' mno wana Yanga?

    Nyie mbumbumbu sc Bichwa sc Mikia sc Mahirixi Sc Kanjibay sc Matopen sc Inaonekana ingeneer Heris anawakosesha ucingiz!!! Tulieni hivyo hivyo msumar uingie @@@ kwa hisani Fundi Wa mpira Kjsheti Carlinhos
  7. Kechegwa

    Utopolo wamsajili chama ushahidi ninao

    Na bado kesho ambulency ziwectayari kubeba mashabiki Wa mikia kutokana na Nucliar bomb litakapo fyatuliwa kuanzia saa8 :00 mchana.Bomb hlilo litasafiri kwa kasi ya 10820hm per 0012snd kutokea mitaa ya Maria koo na Twiga (Jangwani) moja kwa moja litaelekea upande Wa mashriki na kilos am bar at I...
  8. Kechegwa

    Mashabiki wengi wa Yanga hatuna elimu na si binadamu wa kawaida

    Hivi unamjua Zawadi au unaongea tuu? Huyu nikiungo bora japokuwa hakuimbwa sana,Yanga kwa muda mrefu imekuwa ikistrugle kumtafuta kiungo mkabaj ambae ndie kiunganish cha Tim katikati. Nafikiri kwa uchezaj wake na utulivu wake utaisaidia Yanga.Pia itasaidia kumuondolea Feisal mzigo ambao...
  9. Kechegwa

    Mashabiki wengi wa Yanga hatuna elimu na si binadamu wa kawaida

    Hatuna shabiki Mbumbumbu kama wewe naona unajaribu kuficha mkia wako, Walah Rage hakukosea nanado mtang'oa Viti maana G imeanza kuwapa kiwewe.
  10. Kechegwa

    Yupi anastahili Tuzo ya Mchezaji Bora wa Msimu wa VPL?

    Yikpe kura zote kwake
  11. Kechegwa

    Kazi ya kulea si mchezo, mbarikiwe wanawake

    Drone Camera, Kama kuna jambo tunapaswa tulifanye hapa dunian ambalo nilamsingi basi "Tuwatendee wema wazazi wetu" Hebu jiulize kuna wakati mgumu kama kunyamanzisha mtoto ambae hujui analia kwa sababu gan? Maana yeye haongei hivyo sio rahis kujua kip kinamsumbua. Lakin Mama husumbuka...
  12. Kechegwa

    Benard Morrison kuanzia kesho ni Mchezaji huru

    Ashakubali ndoa, asiogope shida za mwanaume wake yeye hana budi kuitumikia ndoa hivyo hivyo japo kishingo upande.Kuna wakati ili chaneli zisome ktk kisimbusi lazma upepo utulie,Ila kwamaon yangu Yanga Sc wasivunje mkataba naye Bali wamshushe ktk Under 20 ili awe anacheza chandim na watoto dish...
  13. Kechegwa

    Ngoma mpya ya King Kiba (So Hot) ni hot kweli kweli

    Uko vizur kiufupi nimeuelewa, ila mashabiki mna roho ngumu sana, mkiwa jukwan mnasema wimbo mbaya lakin vichochoron mnajifungia kuupa air time kuusikiliza
  14. Kechegwa

    Ngoma mpya ya King Kiba (So Hot) ni hot kweli kweli

    Uko vizur kiufupi nimeuelewa, ila mashabiki mna roho ngumu sana, mkiwa jukwan mnasema wimbo mbaya lakin vichochoron mnajifungia kuupa air time kuusikiliza
  15. Kechegwa

    Bei ya umeme Kigoma pasua kichwa

    Kwanza nianze kwa kusema Mimi sio mfanyakazi wala Agent Wa Tanesco lakin kwa maoni yangu, mfumuko Wa being za units katika mkoa wetu unaweza sababisha na mambo kadhaa. 1:Ongezeko la matumizi( Watumiaji).Awali shirika liliweza kutoa huduma ya umeme kwa kaya chache ambazo kiuhalisia zipo mjin...
Back
Top Bottom