kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Mmeambiwa watu wanataka kusoma jiografia uwanjani?Mbona mlipiga kelele sana na kuzinanga jezi za watani wenu?Mnazidiwa na wajela jela?
Mmeambiwa watu wanataka kusoma jiografia uwanjani?Mbona mlipiga kelele sana na kuzinanga jezi za watani wenu?Mbazidiwa na wajela jela?
,Mkuu unapata shida ukiwa maeneo gani?Mmeambiwa watu wanataka kusoma jiografia uwanjani?Mbona mlipiga kelele sana na kuzinanga jezi za watani wenu?Mnazidiwa na wajela jela?
Atlas hii hapaWeka picha ya jez kwanza
Wamesahau kuweka ni manyani mnabweka kama mbwaAtlas hii hapaView attachment 1566181
Mkuu mi siyo utopolo,tararibuUmesahau kuweka nyinyi ni manyani mnabweka kama mbwa
Atlas hii hapaView attachment 1566181
Jezi ina ramani tatu halafu zote ramani za Africa. Nembo ya Yanga tayari ilikuwa na ramani ya Africa. Nembo ya GSM nayo tayari ina ramani pia, asa kulikuwa na sababu gani ya kuweka tena ramani nyingine ya tatu?Jezi ni Kali sema kunakitu kimoja hawakuwa makini.walitakiwa wawe wabunifu ingenoga.
RAMANI ya Afrika. Hapa ndio wabunifu kidogo wameteleza, Najua dhsmira yao ilikuwa ni kuleta maudhui na maana halisi ya Young Africa .
Lakini ukubwa wa mchoro Wa ramani hiyo imeharibu muonekano Wa jezi. Haswa ukizingatia ramani yenyewe kuweka ubavuni haikupi we we mtazamaji tafsir kamili.
Pendekezo langu ,japo ndo ishatoka nafkir kama wabunifu wangeona mbali haya ndo maeneo ramani ingekaa na kuleta muonekano mzuri
1 Chin ya Maandishi ya SPORT PESA hili ni eneo zuri kabisa kwani ingeliwekwa ramani ndogo ya wastani ingependeza zaidi
2 BEGANI
Umesahau kuweka nyinyi ni manyani mnabweka kama mbwa
Jirani kwani unateseka??Mmeambiwa watu wanataka kusoma jiografia uwanjani?Mbona mlipiga kelele sana na kuzinanga jezi za watani wenu?Mnazidiwa na wajela jela?
Hapana nakujua msimbazi mwenzangu nilikuwa najazia nyama kwenye comment yakoMkuu mi siyo utopolo,tararibu
Ya njano na kijaniKWANI NYANI ANA NGOZI RANGI GANI ?