Bei ya umeme Kigoma pasua kichwa

Hata Mimi nilipokuwa Kilolo Iringa vijijini huko umeme wa buku tulikuwa tunapakua units 8.2 kwa mwezi tukiwa na mwenzangu tuliishi nyumba yenye 2 in 1 yenye 6 total rooms and 3 per each Basi umeme wa buku 5 TU Kama units 41 hivi,ulikuwa unatoboa mwezi mzima.Kwa saizi hapa nilipo naona hali Ni tofauti kbs,buku napata units 2.9 wakati happy awali kabla ya kubadilishiwa hii mita mpya tulikuwa tukipata units 2 kwa huku huku wengine buku hiyohiyo mpaka Sasa wanapata 4 units.Umeme wa REA ndo the cheapest of all.
 
Na mie nimeshangaa
Hiyo ni bei ya wale ambao wako kwenye kundi la matumizi ya chini kabisa D1 , matumizi yao hayatakiwi kuzidi unit 75 kwa mwezi. Kama matumizi yako hayazidi unit 75 unaenda Tanesco wanakutoa kwenye matumizi ya kati (T1) na wewe unafurahia umeme kwa bei nafuu.
 
Habari zenu wadau . yaani nashindwa kuelewa mpaka sasa hii bei ya umeme Kigoma ni hapahapa Kigoma au Tanzania nzima .

Sasa hivi huku Kigoma wale ambao walikuwa wanatumia matumizi ya kawaida wote wamepandishwa kwenda matumizi ya juu.

Mfano kipindi cha nyuma nilikuwa nikinunua umeme wa elfu mbili napata unit 16.4 ila katika kipindi hiki tangia korona hii ianze elfu mbili napata unit 5.7 . yaan sijui kwanini au na mikoa mingine imepanda bei hii ya umeme?

Naona sasa tunaanza kurudi kwenye sola maana hali imekuwa ngum mno
[/Qmakuu. Kwanza nitangulize kwa kusema, Mimi sio Mfanyakazi wala agent Wa Tanesco lakin kwa mtazamo wangu mabadiliko ya bei za units kwa mkoa wetu yanaweza sababisha na mambo kadhaa.

1:Mkoa haujaunganishwa na grid ya taifa hivyo kutumia mitambo yake michache kufua umeme Wa mjin mpaka vijijin.

2: Ongezeko la wateja(watumiaj) hii inaweza kupelekea ongezeko LA gharama kwa units kwasababu mwanzo huduma ilitolewa sehemu chache( mjini) lakin kwa sasa umeme umeunganishwa mpaka vijijin (Lea).kwahiyo lazma gharama za kuiendesha mitambo yafulia umeme ipande ukizingatia tuna mashine chache za kufulia umeme huo.

3:Asili ya umeme wetu, kiukweli hapa ndo panatukwamisha mkoa wetu kupiga hata kwan tumekuwa tukitegemea MAFUTA kuendesha mashine za kufulia umeme. Hii ina sababisha kukosa wawekezaji Wa viwanda kwakuwa hatuna umeme Wa uhakika,Ipo haja ya selikali ya mkoa wetu kuangalia njia mbadala ya kuzalisha umeme Wa ziada kama vile , Maporomoko ya mto Malagalasi,Soral power nk.

4: Janga la Covid19, Kutokana na chi nyingi kuchukuwa hatua za kufunga mipaka ili kuzuia maambukiz ya ugonjwa huu imepelekea kukosekana kwa kwa mafuta ya kutosha kutokana na usafirishaj wake kuwa Wa taabu.


IPO haja ya shirika husika kufanya mikakati na kuhakikisha inatatua changamoto hii ili upatikane umeme Wa uhakika, ukizingatia mkoa wetu ni miongon mwa mikoa michache yenye rasilimali rukuki za kuwavutia wawekezaji kikwazo kinakuja, Watawekeza viwanda pacpo umeme wa uhakika?.Inashangaza sana pale unapo litazama ZIWA TANGANYIKA kwa ukubwa na kila aina ya samaki waliomo lakin hatuna kiwanda hata cha kuchakata minofu!!.Pia ina shangaza kuona mji umezungukwa na kushehen MICHIKICHI ila hatuna kiwanda cha kuzalisha KORIE!!
Ipo haja ya viongozi wetu kujitafakari upya nin na niwapi wanakosea,Mkoa wetu ulipaswa kuwa miongon kwa majiji ya kibiashara ukizingatia tumezungukwa na nchi Tofaut za maziwa makuu
 
Habari zenu wadau . yaani nashindwa kuelewa mpaka sasa hii bei ya umeme Kigoma ni hapahapa Kigoma au Tanzania nzima .

Sasa hivi huku Kigoma wale ambao walikuwa wanatumia matumizi ya kawaida wote wamepandishwa kwenda matumizi ya juu.

Mfano kipindi cha nyuma nilikuwa nikinunua umeme wa elfu mbili napata unit 16.4 ila katika kipindi hiki tangia korona hii ianze elfu mbili napata unit 5.7 . yaan sijui kwanini au na mikoa mingine imepanda bei hii ya umeme?

Naona sasa tunaanza kurudi kwenye sola maana hali imekuwa ngum mno
Kwanza nianze kwa kusema Mimi sio mfanyakazi wala Agent Wa Tanesco lakin kwa maoni yangu, mfumuko Wa being za units katika mkoa wetu unaweza sababisha na mambo kadhaa.

1:Ongezeko la matumizi( Watumiaji).Awali shirika liliweza kutoa huduma ya umeme kwa kaya chache ambazo kiuhalisia zipo mjin. Lakini kutokana na umeme kusambazwa had I vijijin (lhea) matumiz yameongezeka na kusababisha gharama za kuiendesha mitambo ya kufulia umeme kuwa ghal.

2Mkoa kutounganishwa ktk gridi ya taifa,Kiuhalisia Mkoa wetu unazalisha umeme wake kwa kutumia mafuta,Hii imepelekea kutokuwa na umeme Wa uhakika kwan hatuna vyanzo wala visima vya mafuta badala yake tunategemea kuagiza nje ya nchi.

3:Uchache Wa Mitambo ya kuzalishia Umeme:Hapa imepelekea hata uzalishaji Wa umeme kuwa mdogo kutokana na uchache Wa mashine za kuzalisha umeme Wa kutosha hivyo kujikuta zinafanya kaz kubwa kuliko Uwezo wake.

4: Janga LA Covid19,kutokana na nchi nyingi kufunga mipaka take ili kuzuia kuenea kwa Janga hili imepelekea upatikanaj Wa mafuta kuwa ghar kutokana na usafurishaj wake kuwa mgumu.

IPO haja ya selikali ya Mkoa wetu kubuni vyanzo vipya vya kupata nishati hii kwan kulingana na Mkoa wetu ulivyo ulipaswa kuwa miongon mwa mini michache ya kibiasshara ukizingatia tumezungukwa na nchi za maziwa makuu.

Tunavyanzo mbadala kama Maporomoko ya MTO Malagalasi,Solar power na vinginevyo,Mkoa wetu una sofa na rasilimali za kumvutia kila muwekezaji tatizo ni uhaba Wa umeme,nan atawekeza kiwanda pacpo umeme Wa uhakika?
 
Hata Mimi nilipokuwa Kilolo Iringa vijijini huko umeme wa buku tulikuwa tunapakua units 8.2 kwa mwezi tukiwa na mwenzangu tuliishi nyumba yenye 2 in 1 yenye 6 total rooms and 3 per each Basi umeme wa buku 5 TU Kama units 41 hivi,ulikuwa unatoboa mwezi mzima.Kwa saizi hapa nilipo naona hali Ni tofauti kbs,buku napata units 2.9 wakati happy awali kabla ya kubadilishiwa hii mita mpya tulikuwa tukipata units 2 kwa huku huku wengine buku hiyohiyo mpaka Sasa wanapata 4 units.Umeme wa REA ndo the cheapest of all.
Mi kwangu hapa Dar bila kutenga elf 50 kwa mwezi hutoboi kwenye umeme, na hapo ni TV, friji, balubu za energy saver, labda feni kidogo, mara moja moja utatumia birika la umeme na kile ki oven cha kuchomea vitu kama nyama na samaki, utafikiri tunaendesha kiwanda..
 
Duh,
Mi kwangu hapa Dar bila kutenga elf 50 kwa mwezi hutoboi kwenye umeme, na hapo ni TV, friji, balubu za energy saver, labda feni kidogo, mara moja moja utatumia birika la umeme na kile ki oven cha kuchomea vitu kama nyama na samaki, utafikiri tunaendesha kiwanda..
Ina maana unit moja unauziwa kwa Bei gan?
 
Back
Top Bottom