Hata Mimi nilipokuwa Kilolo Iringa vijijini huko umeme wa buku tulikuwa tunapakua units 8.2 kwa mwezi tukiwa na mwenzangu tuliishi nyumba yenye 2 in 1 yenye 6 total rooms and 3 per each Basi umeme wa buku 5 TU Kama units 41 hivi,ulikuwa unatoboa mwezi mzima.Kwa saizi hapa nilipo naona hali Ni tofauti kbs,buku napata units 2.9 wakati happy awali kabla ya kubadilishiwa hii mita mpya tulikuwa tukipata units 2 kwa huku huku wengine buku hiyohiyo mpaka Sasa wanapata 4 units.Umeme wa REA ndo the cheapest of all.