Recent content by KB THE DON

  1. KB THE DON

    JamiiForums Tanzania Fahamu kuhusu Polonium-210

    Po 2010 itakuwa ni jini
  2. KB THE DON

    JamiiForums Tanzania Walimu mnao kata hela za wadogo zetu tunapowatumia mna shida gani?

    Mzazi kwann haujamfungulia acount mtoto wako ili uwe unamtumia humo unakuja kulalamika hapa endelea kupigwa tuu kama vip maana ndiyo njia uliyoichagua mwenyewe
  3. KB THE DON

    JamiiForums Tanzania Nadharia yangu namba 5 kwanini binadamu tumeumbwa duniani

    Duuh dhambi ya Eva na Adam bado inatuhusu hadi leo ila dhambi nyingine ni personal hii nayo inafikirisha sana
  4. KB THE DON

    JamiiForums Tanzania Matokeo darasa la saba 2024, kuna kila dalili hujuma zinafanyika dhidi Shule za Kayumba

    Tembea uyaone huko unaita st. Kayumba 1. Watoto wanakaa sakafuni au chini ya mti/ yaan kiufupi mazingira ni duni mno 2. Alafu it is as if shule zimekuwa overpopulated mno kuzidi caring capacity
  5. KB THE DON

    JamiiForums Tanzania Utata wa riba katika mikopo inayotolewa na Mabenki

    Hii ipoje mkuu hebu fafanua kidogo
  6. KB THE DON

    JamiiForums Tanzania Utata wa riba katika mikopo inayotolewa na Mabenki

    Hii fomula huenda ni ya Uwongo maana naona kama haitumiki
  7. KB THE DON

    JamiiForums Tanzania Utata wa riba katika mikopo inayotolewa na Mabenki

    Habari za jioni ndugu Great thinkers itifaki zote zikizingatiwa niende kwenye maada moja kwa moja Kwa siku za hivi karibuni niliona mahala kwamba riba za mikopo CRDB 13% wakati NMB NA NBC wao ni 16%. Shida ilitokea pale nimefika bank anafanya calculation akanambia ili nipate sh 12.9mil kwa...
  8. KB THE DON

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Kama unahitaji gari zuri usiache kupitia huu uzi

    Hellow nimeipenda hiyo gar twaweza jadiliana pm
  9. KB THE DON

    JamiiForums Tanzania Msaada kwa anayeweza kumdhamini huyu mwanafunzi tafadhali

    Habari za kuamka wakuu lakin pia nitumie nafasi hii kuwatakia heri ya Sikukuu ya SABA SABA bila kuwachosha na maelezo mengi. ifuatayo ni sms ambayo nimetumiwa na kijana wa kitanzania ambaye niliwahi kumsaidia jambo kidogo nilipokutana naye kwa bahati tuu katika mapambano yake kielimu ''Baba...
  10. KB THE DON

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Doggy style imeharibu vijana wengi

    Yy katolewa na nani wakati yeye amekutoa ww
  11. KB THE DON

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Doggy style imeharibu vijana wengi

    Pole sana kwa yaliyokukuta
Back
Top Bottom