Hii sumu ndio ilimuua yule jasusi wa kirusi Alexander Litvinenko mwaka 2006.
Novichok mkuu unaizungumziajeSahihi kabisa jasusi ambaye alikua double agent wa KGB alifariki kupitia hii sumu.
Kamuwekee mamayoHivi kwa nini wasimuwekee chchmela huko stoo?
Novichok ni biological weapon ambayo iligunduliwa USSR Kipindi cha miaka ya 1970's mpaka 1990's kisha kuja kufungiwa matumizi yake mnamo mwaka 1997. Novichok hushambulia zaidi mfumo wa central nervous system Kwa kuifanyia overstimulation. Kwa lugha ya kijasusi hii ni "undetectable and easy to carry" kumaanisha kwamba vipimo vingi vya kimaabara hushindwa kumtambua muathirika wa novichok na ilifanikiwa kipindi ya 1980's ambapo NATO walishindwa kuitambua pia. Matumizi ya hivi karibuni ni mwaka 2018 kwenye shambulio la kijasusi. Sheria za silaha za kibiologia imefungia matumizi ya novichok japo wataalam walifanikiwa kupata antibiotic Yake kama muathirika atawahishwa kwenye kituo cha afya.Novichok mkuu unaizungumziaje
1. Vipi mkuu kama ni nchi gapi dunia zinatengeneza hii Polenium 2010?Moja ya side effects za polonium ni USO kuwa mweusi Yani kitaalamu hyperpigmentation ya melanin. Sasa toka COVID ianze ni nchi Tatu duniani ziligoma kupokea chanjo ikiwemo Tanzania na Burundi na mpaka kufika July 2021 viongozi wote walifariki katika mazingira ya kutatanisha.
Labda.. Ila jamaa alikuwa anafanyiwa decontamination kwa kutumia chelanting agents Isingekuwa vyepesiKaka nadhani umeshajua nilichotaka kukisema na moja ya side effects zake ni USO kuwa mweusi due to hyperpigmentation. Binafsi nahisi walimaliza jamaa Kwa hii kitu.
Shida sio rahisi kui detect pia.Labda.. Ila jamaa alikuwa anafanyiwa decontamination kwa kutumia chelanting agents Isingekuwa vyepesi
Po 2010 itakuwa ni jini1. Vipi mkuu kama ni nchi gapi dunia zinatengeneza hii Polenium 2010?
2. Kwa kumronga mtu hutumikaje mkuu na mchawi wakati wa kwenda kuronga ubebaje na huvaa mavazi ya aina ipi?
3. Mtu akirongwa kupitia Polenium je aweza kutibika?
Po210
Hiyo ndiyo ilimpoteza double agent Alexander Litvinenko:-Moja ya side effects za polonium ni USO kuwa mweusi Yani kitaalamu hyperpigmentation ya melanin. Sasa toka COVID ianze ni nchi Tatu duniani ziligoma kupokea chanjo ikiwemo Tanzania na Burundi na mpaka kufika July 2021 viongozi wote walifariki katika mazingira ya kutatanisha.
Kuna namna mtoa post anaficha matumizi mengine 😂Kuna point mbona kama umeikwepa,
Code nyepesi mbona hiiBado code haifunguki😁
Jasusi hiyo point nimeiacha Kwa makusudi kabisaKuna namna mtoa post anaficha matumizi mengine 😂