Kwani ac yako nimekuomba au? ,wee njoo na daladala lakini wallet iwe imetuna una tunisha nanilii akati walet imepwaya khaaa, wacha niongee na waliotunisha vyote kwenye gari yako, utakula kwa macho mvulana mkubwa bahil wew
Hahaaaa hahaaaa, wanaume mnakazi kwakweli, mzalishe mtu watoto wawili ndo uanze kumsomesha hata akijabadilika angalau watoto wako watafaidi elimu ya mama khaaa, mnawazimu kujitoa muhanga umsomeshe mtu huna mtoto naye inahusuu, mjifunzeee wanawake sisi no sheeeda
Yaani aliniangalia wee badala anipe hata lift anatoa mijicho tuu sijui aliniogopa akati niko simple tuu, aende zake ukoo na migari yake. ..kijitu chenyewe kilikua kifupiii ptyuuu ningempenda kwa ajili ya midola maana mbele ya dola hapaharibiki neno kwangu
kuna domo zege alikua hajielewi, kanisalimiavizur badala aombe no anamtuma rafik yake nikamtolea nje dadex ile niko kituon nasubir daladala kapita na bonge la viex, akaniangalia wee nikajidai simuoni kumbe ni boss ana hadi makampuni uwii nimekoma kuringa sa ivi hadi kibaka anapewa no hahaaa hahaaa
Hahaaa, usimwambie mwache akuanze wewe, tena usikae naye karibu karibu mpaka unalowana khaaa, tengeneza mazingira ya kutongozwa wewee acha kujidai kauzu, ningekua mimi ningelegeza sauti mpaka anitamkie mwenyew heheeee
Niko serious kweli, mimi ni mcute lakini kila kukicha psiiii za wanywa viroba ni sheeda nimechoka nataka mwanaume anayejielewa jamani, au nikutumiepicha unione eee?,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.