Midomo zege kuja hapa

Midomo zege kuja hapa

Hela Ndo Inatongoza Mwanamke Nyie Wenye Maneno Kibao Mnakua Hamna Hela
 
Hahaha dah! Hiyo kwa beginners aiseeeh!na umpige bikra hiyo mistari ila kwa magwiji yaliyozoea mitongozo hachelewi kukutolea uvivu na kukuambia uache longo longo.
 
kuna domo zege alikua hajielewi, kanisalimiavizur badala aombe no anamtuma rafik yake nikamtolea nje dadex ile niko kituon nasubir daladala kapita na bonge la viex, akaniangalia wee nikajidai simuoni kumbe ni boss ana hadi makampuni uwii nimekoma kuringa sa ivi hadi kibaka anapewa no hahaaa hahaaa
 
kuna domo zege alikua hajielewi, kanisalimiavizur badala aombe no anamtuma rafik yake nikamtolea nje dadex ile niko kituon nasubir daladala kapita na bonge la viex, akaniangalia wee nikajidai simuoni kumbe ni boss ana hadi makampuni uwii nimekoma kuringa sa ivi hadi kibaka anapewa no hahaaa hahaaa

huyo ni KING OF DOMO ZEGEZ.....kuongea hawezi, ZANA ZA MAANGAMIZI ANAZO .....bado tu hawezi hata kuzuga kutoa lift??!!! kweli kuna madomo zege!!!!!!
 
huyo ni KING OF DOMO ZEGEZ.....kuongea hawezi, ZANA ZA MAANGAMIZI ANAZO .....bado tu hawezi hata kuzuga kutoa lift??!!! kweli kuna madomo zege!!!!!!

Yaani aliniangalia wee badala anipe hata lift anatoa mijicho tuu sijui aliniogopa akati niko simple tuu, aende zake ukoo na migari yake. ..kijitu chenyewe kilikua kifupiii ptyuuu ningempenda kwa ajili ya midola maana mbele ya dola hapaharibiki neno kwangu
 
Eti "Hongera umependeza hadi raha (ok ahsante)"...
Kukariri huku! Nahisi asiposema ahsante utatokaje nduki...loh hebu kua kwanza, utagundua maneno si mtaji!
 
Yaaan hata ukitongoza vipi km huna nguvu za kiume kwa wadada wa mujini ni kazi bure..i.e usafiri.
 
wanawake wanataka mtu anaeongea
1.Reality
usijifanye utamnunulia gari wakati shati hata kunyoosha tuu kwa pasi ya mkaa inakushinda unadhani wanawake wajinga
2.Personality
uwe mtu mwenyee muonekano unaovutia sio suruali chini ya matako viatu vireefu si ununue vinvyo kutosha kaka??

3.Nidhamu/Displine .mtu unaye jiheshimu na kuwaheshimu walio kuzidi rafiki zake/ndugu zake,na jamaa zake
4.Mchamungu/worship.Kuna vijana wapo MMU hapa kaniosani ni chrismass na mwaka mpya wakiwa wanamvizia dadammoja mwimba kwaya .huwezi kumpata mdada mzuri atakae kupenda na mkaishi wote pamoja
5.Kujitambua/Self determination. Jijue ww ni nani, umetoka wapi, upo wapi na unaelekea wapi na utakutana na nini hiko mbele, vijana wengi wanawake wanawapenda kwa wakati wa raha ila si sehem ya shida zao huwezi kufanikiwa

Vijana wa MMU mnaoandika thread za kutafuta mchumba naomba niwafunde kwa haya machache na wengine wataongezea wenye adabu kama mm na wanawake hahahaa. Na hatuta tegemea kupata thread za oo natafuta dem wa kutokanae mwaka mpya nanyingine nyingi mnaona wanawake mpira wa miguu mnapiga mtakavyo sio hivyo wa wakuu nawasilisha hoja kwa mikono miwili.
 
Soko huria na utandawazi vyenga vyote vya nini karne hii? Mwite baby huku ukionesha ishara ya ku-do dk chache tu unae kitandani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom