Sara
JF-Expert Member
- Aug 3, 2014
- 1,060
- 926
ndo mana leo nimerudi tena kuomba msaada wa mwisho manake nikimwambia mama anasema vumilia tu utaenda wapi utawalea vipi hao watoto watatau unanini nikimwambia mwingina ananiambia watoto waachie huyo mnyama awalee mwenyewe wewe kaanze maisha yako ukiwa peke yako utahangaika lakini na watoto utateseka watoto wake leo hataki hata kunioa sura yangu kafahamishwa na kaka yake lakini ye yupo pale pale kama mie basi jamani nifanye nini watoto niwasaliti nimwachie nisonge mbele kuliko kufanywa kama mnyama manake hata nikikimbia nao yeye anawataka watoto wake manake mara nyingi kasema we ondoka watoto waachie hapahapa mie nitawalea nikimwambia mwingine ananiambia ukichukua watoto utapata tabu mpaka dunia utaiona chungu gharaama zao utatoa wapi na utamwachia mwanya ya huyu bwana kustarehe nifanyeje hebu nisaidieni
Dada yangu wa kazi ana miaka 42' ana watoto watatu' alitokea kwenye ndoa dizaini yako. Ila maji yalipomfika shingoni alijua cha kufanya' yeye mwenyewe peke yake, bila ushauri wa yoyote anasema alipanda basi na kwenda dar kufanya kazi Za ndani
Alicha nyumba kubwa na watoto wake watatu plus wa mke mwenzie4.
Na hao watoto wanasoma secondary na analipa Ada.
Ipo siku utapata suruhisho la matatizo Ya ndoa yako' siku Hiyo ama utabeba kila kilicho chako' au utaacha Kila kitu na kuelekea usipopajua.