Wapo Wengi wenye vigezo hivyo ila hautapata, kwanza haujui kuandika, 2. Haujui kutongoza 3. Hauna hela ndio maana haujataja wewe una nini, mwanamke huyo akufuate wewe una nini?Taja wewe una nini wajue
Ndugu yangu halo ni machache kuhusu wasifu wa Kagame, yaani ungejua kua Kagame ni rais mbaya kuliko IDD AMINI DADA, hata hivyo Kagame alikua Mkuu wa Upererezi miaka ya nyuma nchini Uganda na ukitaka kujua aliyoafanya waulize waganda mpaka wakampa jina la PILATO, yaani KAGAME kwa wanyarwanda...
Nilika naangalia kwenye youtube nikakutana na Video ambayo imegishangaza sana nikaona basi nishirikishe wana JF na kusikia maoni yao
Na video yenyewe hii hapa
Je? kuna nguvu yoyote ndani ya jitihada Zao?
Kagame anasikia lugha moja tu, masikio yake hayasikii kingereza wala kiswahili, yanasikia lugha ya silaha tuu, na wanyarwanda wote wanajua ni mda tu, ila msishangae
Tatizo la Madikteta wote wanaongelea Maendeleo kuliko Usalama wa watu, na wanaongea kwa Jazba sana, na Team Kagame hua wanaongea kama wewe, na watu wengi walimuimba Kagame na wakaishia kulia, hata JPM wengi wa karibu nae wanajua wewe usiyoyajua, sasa wewe barabara nzuri ukiwa hauna uhakika wa...
Ebu fuatilia vizuri wahutu wana hali gani nchini Rwanda
1. Wamenyanganywa ardhi yao sasa ni ardhi ni mali ya serikali
2. Tangu 2012, Kagame akijua kua Watusi ni wachache alisema kwa Kinyarwanda , ukitaka hotuba yake hiyo ipo youtube"UNAWEZA KUCHOTA MAJI NA KI MFUNIKO CHA CHUPA UKAMALIZA PIPA LA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.