Recent content by Kazi Deo

  1. K

    Kwa msimamo huu wa spika Makinda; Naamini CCM inawatoa kafara la damu watanzania!

    Umenikuna sana,haiwezekani hata mie nilipo huku India imenikuna sana tena sana.
  2. K

    Ukweli kuhusu mgomo na madai ya madaktari Tanzania

    Sijaona point aliyoongea hapo kwa kweli.
  3. K

    Mh. Rais zile ahadi zetu vipi? Muda unakwenda sana

    Eeeh kazi ipo ila alisema kwa mdomo wake akijua watanzania watasahau. AHADI NI DENI
  4. K

    Mbunge CCM: Bajeti si yenyewe imechakachuliwa

    Hao ndio wanaohitajika sasa.Big up Mpina
  5. K

    Msafara wa Rais ulipata ajali leo asubuhi Kimara

    Dereva amekufa kwa taarifa fupi tu. Chanzo ITV-Habari
  6. K

    Mrema anafunguka

    Tuambieni na tusiokuwa na access what is going on to Mrema jamani?
  7. K

    Kamati Kuu ya CCM Yaridhia Kikwete kusuka upya Baraza lake la Mawaziri

    Asantheni kwa taarifa wapendwa.
  8. K

    TOP TEN ya wasiohitajika kwenye Baraza jipya la mawaziri...

    Futa wote bora wawepo CHADEMA na CUF tuu
  9. K

    Mara waahidi kuwafukuza wabunge wao isipokuwa..

    Mara nawaunga mkono kwa hapo kwa kweli....
  10. K

    Mchanganuo wa gharama ya Safari ya Rais Kikwete huko Brazil huu hapa

    Siwezi amini then anasema Tanzania ni maskini kweli? Duh tujivunieni kwa hili kwa kweli,akirudi nchini tumpigieni makofi
  11. K

    Hitimisho la Bunge: Swaga za Waziri Mkuu ni Zile zile!

    Hana tena swaga naona
Back
Top Bottom