Habari za wakati ndugu, Mimi ni mmoja wa wauguzi katika Hospitali ya Halmashauri ya Mji wa Bariadi Mkoani Simiyu (Somanda).
Hivi karibuni hospitalini kwetu kumetokea tukio la kinyama, tukio la ukatili, tukio ambalo limeachwa kimya hakuna hatua zozote zimechukuliwa.
Tukio lenyewe ni Daktari...
https://www.youtube.com/watch?v=91T84O89JeA
“Neema Yako” ni wimbo wa injili uliotolewa na mwimbaji wa nyimbo za Injili, Anna Maboya akimshirikisha Upendo Nkone. Wimbo huo umeachiwa kwenye Mtandao wa YouTube mnamo Mei 30, 2026 na unapatikana kama single yenye ujumbe unaosisitiza neema ya Mungu...
Tanzania's Amsons Group is in advanced negotiations to acquire Oryx Energies in a deal estimated at $250 million, according to sources familiar with the matter, in a transaction that would hand the Tanzanian conglomerate control of one of East Africa's most strategically positioned energy...
Kampuni ya Amsons Group yenye makao makuu yake nchini Tanzania, inaripotiwa kuwa katika mazungumzo ya hatua ya juu ya kuinunua kampuni ya Oryx Energies katika dili linalokadiriwa kuwa na thamani ya dola milioni 250 (Zaidi ya shilingi bilioni 650 za Kitanzania), kwa mujibu wa taarifa kutoka...
We are seeking a motivated, experienced Loan officer/ Credit officer to join our growing company. In this position, you will evaluate and approve or deny loan applications. You will act as liaison between financial institutions, individuals, and businesses applying for loans as well as process...
Katika maeneo mengi ya Kariakoo, kumekuwa na ongezeko la nyaya za makampuni ya intaneti zinazofungwa kiholela juu ya nguzo, majengo, na hata kuvuka barabara bila mpangilio. Hali hii, licha ya kuonekana katika maeneo mengine ya jiji, inaonekana zaidi katika eneo hilo lenye shughuli nyingi za...
Vita baina ya Marekani, Israel dhidi ya Irani ilianza tarehe 28 Februari, 2026. Vita hiyo imeongezeka wigo kutokana na mashambulizi ya Irani kwa nchi za Saudi Arabia, Bahrain na Nchi za Falme za Kiarabu (UAE) ambazo ni wazalishaji wakubwa wa mafuta duniani.
UTARATIBU WA UAGIZAJI WA MAFUTA...
Aprili 3, 2026, Tume ya Rais iliyoundwa kuchunguza matukio ya Oktoba 29 inatarajiwa kukabidhi rasmi ripoti yake kwa Rais Samia Suluhu Hassan baada ya kukamilisha uchunguzi wake.
Tume hiyo, inayoongozwa na Jaji mstaafu Othman Chande, imetekeleza jukumu la uchunguzi kwa takribani miezi mitano...
Sisi ni Wadau wa JamiiForums natokea Manispaa ya Ubungo Kada ya Elimu Kero yetu ni Juu ya Pesa za Likizo tangu nihamie Manispaa ya Ubungo ni Mwaka wa tano lakini mpaka leo hatujawahi kupewa hela ya likizo tunaishia tu kujaza fomu hatujui hizo hela anapokea nani kama kweli zinatoka.
Tunaomba...
Kwa sababu shambulio moja tu la droni kwenye kitu muhimu kama kituo cha kuondoa chumvi kwenye maji ya bahari (desalination plant) au bandari ya biashara linaweza kuleta madhara makubwa kuliko maelfu ya hotuba za kisiasa.
Nchi za Ghuba kama UAE zinategemea sana vituo vya desalination kwa maji ya...
Baada ya karne nyingi kupita, 2025 Rais wa Tanzania, Dkt.Samia Suluhu Hassan amekuja na maono ya kumfikisha kijana kwenye ndoto yake anayoitamani. Ameunda Wizara mahususi kwa ajili ya kusikiliza hoja za vijana, kuwaongoza na kuwawezesha kufikia nchi ya ahadi ya asali na Maziwa. Inawezekana...
Katika kuhitimisha siku mia za uongozi wa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye alielekeze huduma za matibabu ziwafikie wananchi popote walipo, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dkt. Delilah Kimambo, ameendelea kuwa kiongozi wa mfano kwa kusimamia na kutekeleza maagizo hayo...
Hivi karibuni Februari 28, 2026 wakati wa Msiba wa Hayati Polycarp Kadinali Pengo kila mtu anakumbuka kilichotokea kuhusu suala ya kupigiwa au kutopigiwa makofi kwa wanasiasa. Baadhi ya Viongozi wastaafu walipigiwa sana makofi na waaumini lakini wale waliopo madarakani kwa sasa hali ilikuwa...
Barabara Kuu ya Songea–Njombe, katika maeneo ya Ottawa, Kata ya Msamala, Manispaa ya Songea, imeharibika vibaya baada ya kuchimbika hadi kufikia katikati ya barabara.
Hali hiyo imekuwa kero kubwa kwa watumiaji wa barabara hiyo, hususan madereva wa bajaji na bodaboda, ambao wanalazimika kupita...
KUNA mkakati wa siri unaodaiwa kupangwa na vigogo walioguswa na hoja ya ufisadi bungeni ili kumshambulia mbunge wa Gairo, Ahammed Shabiby na Kangi Lugola wa Mwibala, wote kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Mkakati huo umefichuka siku moja baada ya Mkurugenzi wa taasisi ya Kuzuia na Kupambana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.