Nikiwa kama mdau wa sekta ya Korosho hapa nchini, ambaye nimezaliwa na kulelewa kwa zao hili la Korosho, kwa maoni yangu tunapaswa kuheshimu hatua kubwa inayopigwa katika kusimamiwa na kuendelezwa kwa zao hili, ambalo limekuwa likitumika na baadhi ya watu vibaya kwa maslahi yao binafsi ili...
VIONGOZI waliosimamishwa na Baraza la Taifa la Chama cha Walimu Tanzania (CWT) wataendelea kuwa nje ya nafasi zao za uongozi hadi Mahakama ya Mkoa wa Dodoma itakapotoa uamuzi katika kesi inayowakabili.
Waliosimamishwa ni aliyekuwa Rais wa CWT, Leah Ulaya, Rais Dkt. Suleiman Ikomba, Maganga...
CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimebainisha misingi mikuu inayokifanya chama hicho kuendelea kuaminiwa na kushinda chaguzi kuu za kiserikali nchini Tanzania.
Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi amesema hayo kwenye mkutano wa hadhara...
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa(MCC) Salim Asas, amepongeza kwa kiwango utendaji kazi wa serikali inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akieleza kuwa imefanikiwa kuleta maendeleo makubwa katika sekta mbalimbali muhimu kwa ustawi...
Habari za wakati ndugu, Mimi ni mmoja wa wauguzi katika Hospitali ya Halmashauri ya Mji wa Bariadi Mkoani Simiyu (Somanda).
Hivi karibuni hospitalini kwetu kumetokea tukio la kinyama, tukio la ukatili, tukio ambalo limeachwa kimya hakuna hatua zozote zimechukuliwa.
Tukio lenyewe ni Daktari...
https://www.youtube.com/watch?v=91T84O89JeA
“Neema Yako” ni wimbo wa injili uliotolewa na mwimbaji wa nyimbo za Injili, Anna Maboya akimshirikisha Upendo Nkone. Wimbo huo umeachiwa kwenye Mtandao wa YouTube mnamo Mei 30, 2026 na unapatikana kama single yenye ujumbe unaosisitiza neema ya Mungu...
Tanzania's Amsons Group is in advanced negotiations to acquire Oryx Energies in a deal estimated at $250 million, according to sources familiar with the matter, in a transaction that would hand the Tanzanian conglomerate control of one of East Africa's most strategically positioned energy...
Kampuni ya Amsons Group yenye makao makuu yake nchini Tanzania, inaripotiwa kuwa katika mazungumzo ya hatua ya juu ya kuinunua kampuni ya Oryx Energies katika dili linalokadiriwa kuwa na thamani ya dola milioni 250 (Zaidi ya shilingi bilioni 650 za Kitanzania), kwa mujibu wa taarifa kutoka...
We are seeking a motivated, experienced Loan officer/ Credit officer to join our growing company. In this position, you will evaluate and approve or deny loan applications. You will act as liaison between financial institutions, individuals, and businesses applying for loans as well as process...
Katika maeneo mengi ya Kariakoo, kumekuwa na ongezeko la nyaya za makampuni ya intaneti zinazofungwa kiholela juu ya nguzo, majengo, na hata kuvuka barabara bila mpangilio. Hali hii, licha ya kuonekana katika maeneo mengine ya jiji, inaonekana zaidi katika eneo hilo lenye shughuli nyingi za...
Vita baina ya Marekani, Israel dhidi ya Irani ilianza tarehe 28 Februari, 2026. Vita hiyo imeongezeka wigo kutokana na mashambulizi ya Irani kwa nchi za Saudi Arabia, Bahrain na Nchi za Falme za Kiarabu (UAE) ambazo ni wazalishaji wakubwa wa mafuta duniani.
UTARATIBU WA UAGIZAJI WA MAFUTA...
Aprili 3, 2026, Tume ya Rais iliyoundwa kuchunguza matukio ya Oktoba 29 inatarajiwa kukabidhi rasmi ripoti yake kwa Rais Samia Suluhu Hassan baada ya kukamilisha uchunguzi wake.
Tume hiyo, inayoongozwa na Jaji mstaafu Othman Chande, imetekeleza jukumu la uchunguzi kwa takribani miezi mitano...
Sisi ni Wadau wa JamiiForums natokea Manispaa ya Ubungo Kada ya Elimu Kero yetu ni Juu ya Pesa za Likizo tangu nihamie Manispaa ya Ubungo ni Mwaka wa tano lakini mpaka leo hatujawahi kupewa hela ya likizo tunaishia tu kujaza fomu hatujui hizo hela anapokea nani kama kweli zinatoka.
Tunaomba...
Kwa sababu shambulio moja tu la droni kwenye kitu muhimu kama kituo cha kuondoa chumvi kwenye maji ya bahari (desalination plant) au bandari ya biashara linaweza kuleta madhara makubwa kuliko maelfu ya hotuba za kisiasa.
Nchi za Ghuba kama UAE zinategemea sana vituo vya desalination kwa maji ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.