Mshahara wa dhambi mauti, hakuna lisilo mwisho hakuna kurudi nyuma. Wakati umefika watanzania kupata haki zao, tuzidi kuwaombea dua rais na waziri mungu awape uhai mrefu. Ili wafikie marengo yao. Inshalla
Kitu ambacho nimegundua Jana ktk hutuba ya raisi Anna, amekuwa kafara la wizi kwani wanajuana vizuri. Ukawa huu ndiyo wakati wetu hiyo dhambi tufanye kazi ya kuwaelimisha wananchi wizi wa hawa jammaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.