Recent content by Kayler

  1. Kayler

    Kinachofanywa na Empower ni halali?

    Thanks a lot, let me do it right now
  2. Kayler

    Kinachofanywa na Empower ni halali?

    Thanks, a lot. Ngoja nijaribu bahati NMB.
  3. Kayler

    Kinachofanywa na Empower ni halali?

    Naomba mnisaidie wanaposema CV yangu iwe scanned and signed, sijajua wanataka signature ya nani? Ukweli nmeona kazi za NMB za northern, nmekuwa interested kuapply. Naomba msaada wenu ili nitimize masharti yao.
  4. Kayler

    Kinachofanywa na Empower ni halali?

    Nataka kuapply sasa hizi.
  5. Kayler

    Kinachofanywa na Empower ni halali?

    Ndo hizo kaka
  6. Kayler

    Kinachofanywa na Empower ni halali?

    Me pia napenda kufahamishwa kuwa zile ajira za NMB zilizotoka hivi karibuni ni za kweli.. Maana sasa naanza kuogopa.
  7. Kayler

    Ukweli wa maisha tunayoyapitia vijana (true story ya maisha yangu)

    Good but don't trust anybody. Nowadays, people are highly doing evils every day and night since the world is now bigger than the devil himself. You're too young, keep praying.
  8. Kayler

    Hii ndio ndege ya ATCL iliyokamilika, tayari kwa kuja Tanzania

    Thanx, nilifikiri mambo hayawezekani. Now, I realize that there was something wrong..
  9. Kayler

    TUTAFAKARI KILA MTU KWA NAFASI YAKE

    Kama mtu mzima hupaswi kumnyooshea kidole mkubwa mwenzio bali katika suala lolote lenye kuleta sintofahamu, tunapaswa kujiuluza nini tungepaswa kufanya na kubwa zaidi nini kifanyike kuinusuru hali. Kila mtu kwa nafasi yake anapaswa kufanya lililo chini ya uwezo na mamlaka yake na si jambo la...
  10. Kayler

    Nnkllkk

    C bgll
  11. Kayler

    Je GPA za NACTE na TCU ni tofauti?

    Hongera, we apply tu ya Mungu mengi. Ila naomba unielekeze namna ya kupost information zangu kwenye jf, kila nikijaribu nashindwa mkuu...
  12. Kayler

    Naomba waraka mpya wa Uhamisho

    Mimi ni mwalimu wa sekondari nataka kuhama kwenda mkoa mwingine. Hivyo basi naomba mdau yeyote mwenye waraka mpya wa hivi karibuni anitumie sasa hivi. Maana nilionao ni waraka wa zaman kidogo. Please, naomba msaada wenu..
  13. Kayler

    Wazo: Waliosomeshwa BURE enzi za mwalimu watafutwe popote walipo walipe

    Hivi hayo majina ya wanaodaiwa yanapatikana wapi, nataka niangalie jina langu japo bado sijapata kaz..
  14. Kayler

    Simbanking sasa yapatikana kwa watumiaji wa Halotel

    NMB pia tunahtaji huduma...
Back
Top Bottom