Recent content by Kawogo f

  1. K

    Gari japan

    Sawa mkuu
  2. K

    Gari japan

    Kwa yeyote aliyewahi kununua gar kwa kuagiza Japan naomba msaada gari ambayo inauzwa Japan Dora 3000 mpk ikafike kwangu inaweza kugharimu tshs ngapi kwa kutumia kampuni ya be fowarded
  3. K

    Gari

    Kwa aliyewahi kuagiza gari japani anisaidie hivi gari inayouzwa japani Dora 3000 mpk ikafike hapa kwa kutumia kampuni ya be fowaed inaweza kuchukua tshs mpk inifikie mlengwa
  4. K

    Poleni CCM, kwa hili la Mbowe kuachia Uenyeketi wa Chama mumekwama

    Naunga mkono hoja. Kasoro tu uliposema aongoze mpk kifo hapana. Muda utafika kuacha ataacha lkn kwa sasa big up mbowe tunakuhitaji kuliko mwanzo.
  5. K

    Tetesi: Lulu atoka akiwa na kitumbo

    Nimesoma habari hii katika mtandao fulani wa kijamii ukidai kuwa lulu muigizaji maarufu kuwa ametoka akiwa na kitumbo. Sasa ninajiuliza aliempa hicho kitumbo ni nani kama ni kweli?
  6. K

    Natafuta mume kuanzia 33-45

    Call me 0764556760
  7. K

    Natafuta mme wa kunioa

    Piga 0764556760 tuongee
  8. K

    Maaskofu watatu KKKT(Malasusa, Mbedule na Massangwa) watengwa

    Biblia inasema mtakalolifunga dunia na mbinguni limefungwa Walipo wawili au watatu na Mimi nipo katikati yao.
  9. K

    Kitu gani kikubwa ulichowahi kuhonga au kuhongwa ambacho hutakisahau maishani mwako?

    Duuuu niliendaga bank nikachukua laki nane zilikuwaaga noti za tsh miatano miatano. Duuuu ziliniuma sana
  10. K

    Wadada, tissue na toilet paper hazitoi uchafu! Tumieni maji mkienda Msalani

    Nimeona wanawake wengi sana Mara wakitoka kujisaidia haja ndogo wamekuwa wakijisafisha kwa toilet paper, sasa Mimi najiuliza hivi kweli toileti paper huwa inaondoa uchafu? Au inasiriba tu?
  11. K

    Nahisi km nachelewa vile

    Vizuri mpk tunaongea
Back
Top Bottom