Lakini sijaona ubaya wa waziri mkuu ulipo swala la ajira ni la dunia nzima kinacho mata hapa wewe nenda veta kapate ujuzi kama ni makenika piga ufundi wako huku ukiendelea kufukuzia kazi ya degree yako
Msingi wa uhai ni Mungu mwenyewe na ndo maana hakuna mtu yeyote au kitu chochote kinaweza kutoa uhai
Biblia inasema
Mungu alimuumba mwanadamu kwa udogo kisha akampulizia pumzi ya uhai mwanadamu akawa hai
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.