Recent content by Katungunya

  1. Katungunya

    14 WAYS TO TAKE CARE OF YOUR WOMAN-she will never leave you if you practise these!!

    karibia yoooote anayafanya mpenzi wangu japo videmu vitamissed call,vitamsg ila hainipi presha nampenda sana
  2. Katungunya

    Mwanamke: Aina 10 za wanaume wa kuepuka kuwa na mahusiano nao hawa hapa…!

    ila hayo mabaya bana ya kushuka chini chukua yangu ujue
  3. Katungunya

    Natafuta mke wa kuoa:

    si uweke dada akulelee au umpeleke kituoni akalelewe
  4. Katungunya

    Chit Chat nipokeeni mimi ni member Mpya humu.

    nilikuwa nimekumiss tu my swrty nikupendae
  5. Katungunya

    Nisaidieni kujua majina ya hawa jamaa

    5. Asprin 6. KakaKiiza 9. Bishanga 15 watu8 4. Nicas Mtei 3. Filipo 2. Mungi 7. Arushaone ............ ............ ............ Inaendelea
  6. Katungunya

    Nisaidieni kujua majina ya hawa jamaa

    5. Asprin 6. KakaKiiza 9. Bishanga ............ ............ ............ Inaendelea
  7. Katungunya

    Natembea na mume wa mtu

    chebi hajabakwa huyo ana miaka 27 ujue hapa hajahadaika tatizo " i love u swrty inamchanganya"" chebi kwani kila anayekufata na kukuomba unamkubalia???? NA AKUMBUKE HAITOTOKEA SIKU YA MAHAWARA DUNIANI
  8. Katungunya

    naombeni ushauri wenzangu

    tukushauri nini??? uamuzi ni wako umpe kitumbua au usimpe. ni kitu rahisi sana hichi ila naona kama unalegea unawaza kuachia kidude. USHAURI WANGU:::: Huyo ni mume wa mtu sasa basi hakikisha ukimpa gemu awe na mkwanja mreefu siyo utembee nae bila faida kama hana hela mfungulie mashtaka ya...
  9. Katungunya

    Ukiwa na urafiki na mwanamke lazima kumtongoza?

    tena bora hata akutongoze atakupa heshima wengine wanabaka kabisaaaa mwanamke kutongozwa kawaida sna na tusipotongozwa lazima uwaze mara 2 tena ukiwa na roho nyepesi kwa kalumanzira utaenda kisa hujatongozwa mjombako atakutonngoza nini rafiki
  10. Katungunya

    Natembea na mume wa mtu

    bibie hamisa jipange wee yako baridi tu huipati joto ng'ooooo hao ndo wanaume ukiwaendekeza miaka yote mpaka unakuwa bibi we umekwa kinyumba na mume wa mtu hakuna kitu kizuri kama kuitwa mke wa fulan (mrs)
  11. Katungunya

    Natembea na mume wa mtu

    we mwache mwenzio kapenda kuwa uhawara kugegedwa mchana tu usiku mpaka mume asingizie safari tena na mwenzie anacheo cha mrs yeye hawara a.k.a kimada, nyumba ndogo, kipozeo na kadhalika na usomi wake wote huo kipindi cha baridi anapopata shida wakati mwenzie kakumbatia hata baridi haijui njoo...
  12. Katungunya

    Any friends in Arusha??

    samahani unanikaguaje???
  13. Katungunya

    Natembea na mume wa mtu

    hiyo ngumu we endelea tu hivyo ndo maisha ya mjini tena zaa nae kabisa akili kumkichwa
  14. Katungunya

    Mke afya OK, mume low sperm count - ushauri please

    Da Sophy mweee nini ulichoandika??? cant u see this guy is serious na
  15. Katungunya

    Dawa ya wanawake hii hapa

    ajipangeee meeeen hata sijamsoma kaandika kama mtoto wa daycare centre yellow class
Back
Top Bottom