Mbon Shafo Palooooo:A S-heart-2:
Me miss you mpaka baioloji imegoma:lalala:
ID yako ya zamani ni ipi?Japo Majukwaa mengine wanawaponda eti hamfai, lakini mimi nawapenda sana.
Naomba mnipokee
![]()
Si unajua tena, mie mgeni lazima nije na pozi.
Haya asante.
trust me mke wangu The secretary huyu asuttu mimi wala!
Japo Majukwaa mengine wanawaponda eti hamfai, lakini mimi nawapenda sana.
Naomba mnipokee
![]()
Mzima mpenzi Raiza, umeniita nikuitike labeka?
unamtaka?
Bi dada wantafuta maneno!!!!!!
nakucheki tu............
The secretary,unakumbuka maneno haya niliyokutamkia tarehe 24/june/1981?
The secretary,
Pokea pete hii,
Iwe ishara ya upendo
Na uaminifu kwako,
E Mungu nisaidie.
Wayakumbuka darling?
He! We Katungunya una ukoo na Raiza? Mbona umemjibia swali ake?nilikuwa nimekumiss tu my swrty nikupendae
He! We Katungunya una ukoo na Raiza? Mbona umemjibia swali ake?
Mbon shafooo Palooo Paloma, umesoma hii makitu?
Afu unasemaga mi mnoko..... mi nakasirikaga mimi...waaaaaiiiiii!!!
Makubwa haya huo mwaka hata mama yangu hajafikiria kuna siku atanileta duniani au kuna mke mwenza umechanganya halafu huyu mgeni wenu sijui ndo mndali au Mary atawaletea kasheshe.