Yaan mtu anafungua thread ya kuomba ushauri wa mambo ya biashara kwa nia njema.. baada ya muda wadau wanaomba mrejesho kwa nia njema.. mleta mada anaanza kutoa shombo. Ndio maana kuna wale wazee wa kukoment shombo huwa wanafanya hivo kwa kuwa wanayajua haya yatakuja baadae
Sawa. Lakini niliwaza kuweka yote kwa sababu ni mtaji usihitaji kununua kitu zaidi ya kulipa kodi na marekebisho ya ofisi tu.. kwa maana hata kama hakuna mzunguko kwa miezi 6 niliyolipa kodi kama uliweka 9m itabaki vile vile, kama sijakutana na wale matapeli
Habari....
Naomba kuuliza. Kwa iyo milioni kumi kwa kipindi hiki je nikiwa na laini 3 za wakala wa pesa kama mpesa, airtel money na tigo pesa ntakosa angalau milioni 1 kama faida kwa mwezi? Nb: Eneo ninalowaza kufungua angalau lina changanikeni ya watu..
Habari wadau
Airtel sasa wameanza kuvuruga mfumo wao wa biashara.. Airtel matangazo mengi kwa maana ya promo na sasa mmefikia hatua mmeanzq kuharibu biashara.. yaan imefikia hatua mmeanza kumpangia mtu matumizi ikiwa kipato cha kupata huduma kutoka kwenu ni cha kwake na kifurushi anachokihitaji...
Wakuu habari vp...
Me naomba kuuliza ni nini kinatokea kwenye mnada unapokua unaendelea pale TRA ONLINE AUCTION. Maana oktoba tano nimeshiriki mnada wa gari kama mbili hivi lakin kina wadau wakanizidi gap mbali sana nikajua ndo washindi hapo sina changu.. mnadq ukaisha muda wake.. cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.