Recent content by katokumbi

  1. katokumbi

    WhatsApp, Facebook na Instagram zatoweka hewani Oktaba 4, 2021

    Kwa mimi ambae sio mrumiaji sana wa whatapp wala insta sijashtushwa nimekuja kuona uzi tu humu, nikarudi kuangalia kumbe kweli hahah
  2. katokumbi

    Karibu Masauti Entertainmenr

    Napenda kuchukua nafasi hii kukukaribisha wewe mdau unaependa burudani, muziki katika Studio zetu mpya kabisa kwenye tasnia hii ya muziki wa bongo flava. Pia Masauti Entertainment Tunafanya Music Production, Event Planning, Video Productions, Music Distribution (to all Major Platforms), Digital...
  3. katokumbi

    VODACOM mmeanza kunyoosha mikono kwa jeuri zenu!

    tangazo hili lina creativity nzuri
  4. katokumbi

    Ufadhili "Mkataba" wa kusaidiwa pikipiki ya kufanyia biashara ya bodaboda

    Una driving license, Una ndugu, jama au Rafiki anaefanya kazi permanent katika kampuni yoyote au serikalini ambae anaweza kukufadhili,!? kama jibu ni yes, nitafute 0713890008 nikupatie mahala utakapopata piki piki (boxer) ya Mkopo (mkataba) mpya ambayo utakuwa unatoa 50,000/- tzs kila wiki kwa...
  5. katokumbi

    Ndugu Makonda Umewahi msikia Tim Cook ?

    Kwahiyo wanaotumia Simu Za apple wanatumia bidhaa ya shoga hahaha
  6. katokumbi

    Apple yazindua simu tatu. iPhone X, iPhone 8 na iPhone 8 Plus. Zifahamu simu hizo kiundani hapa

    Kuna jamaa angu anaitwa Punga Phone yuko mobile plaza (china plaza) kkoo alikuja nayo moja tu kutoka dubai
  7. katokumbi

    Apple yazindua simu tatu. iPhone X, iPhone 8 na iPhone 8 Plus. Zifahamu simu hizo kiundani hapa

    best camera 2018 no 1, Google pixel 2xl (android) 2. Samsung note 9 (android) 3. huawei p20 pro (android) 4. iphone x (ios) 5. > ni android mpaka ufike 11 ndo utakutana na ios ya iphone 8 plus acheni kulinganisha android na matoi yenu hayo ya kupigia picha chooni honestly natumia Google pixel 1
  8. katokumbi

    Tetesi: Ushauri Kuhusu hawa Wanawake

    hahahaha nilitaka sema hivi hivi
  9. katokumbi

    Fomu ya maombi ya Bunduki kwa wale Watanzania na Wageni wanaohitaji

    kwanza tuambie zinauzwa wapi ndo utujuze mambo ya fomu
  10. katokumbi

    Roho yangu

    lipa madeni yawatu
  11. katokumbi

    Nataka kumuua mbwa

    mpelelee kangi
  12. katokumbi

    Niijuavyo Freemasonry

    1. Ni kijana mdogo lakini ushakata tamaa ya maisha, huoni tena vyanzo vyabpesa umeona ukimbilie huko. 2. Tamaa ya ujana ambayo ni ya muda mfupi itakayokuja kukifanya ujutie maisha yako yote ya ukibwani. 3. Freemasons sio taasisi unavyoifikiria wewe kwamba ni ya kuchuma fedha, 4. Zaidi ya...
  13. katokumbi

    Nasumbuliwa na jasho la kwenye makwapa.

    wengi huona deodorant ndo suluhisho wakati ndio mbaya sana
Back
Top Bottom