Nasumbuliwa na jasho la kwenye makwapa.

Tilalilala

Member
Nov 30, 2014
78
66
Nishajaribu kila aina ya doderant,mafuta na sabuni lakin wapi. Hili jasho linanikera japo halitoi harufu lakni linachora ramani fulani hivi ya bara la afrika tafadhali mtu ambaye ashawahi kukumbwa na tatizo hili na akaweza kulitatua anisaidie ufumbuzi
 
Nishajaribu kila aina ya doderant,mafuta na sabuni lakin wapi. Hili jasho linanikera japo halitoi harufu lakni linachora ramani fulani hivi ya bara la afrika tafadhali mtu ambaye ashawahi kukumbwa na tatizo hili na akaweza kulitatua anisaidie ufumbuzi
Unaona halitoi harufu kwakua umelizoea. Kwa wasiokuzoea, wanaisikia harufu ya kijasho chako
 
Huwa unavaa vest au unapiga shati kavu kavu? Vest isiposaidia tafuta tshirt uvalie ndani. Pia kuwa makini na vitambaa vya mashati unayovaa vingine vina joto
 
Chukua maji ya Ukoko wa Ugali uwe unaogea hasa hizo sehemu zenye kutoa Jasho.

Baada ya kuoga Chukua maji ya ukoko usafishe kwa kusugua hizo kwapa zako na subiri baada ya muda jifute na taulo (Fanya hivyo mara mbili au 3 kwa wiki)
 
Jaribu kutumia maji ya ndimu/limao mara kwa mara hasa asubuhi baaada ya kuoga

Unachukua limao/ndimu unalikata pande 2 then unakua unakamulia/unapaka maji yake sehemu ya kwapa
 
Nilikuwa na tatizo kama hilo, deodorant zimesaidia niko poa kwasasa. Ila nispotumia deodorant ni majanga.
 
Chukua maji ya Ukoko wa Ugali uwe unaogea hasa hizo sehemu zenye kutoa Jasho.

Baada ya kuoga Chukua maji ya ukoko usafishe kwa kusugua hizo kwapa zako na subiri baada ya muda jifute na taulo (Fanya hivyo mara mbili au 3 kwa wiki)
Hiyo niliwahi kusikia ni dawa ya ugonjwa wa kunuka kikwapa au yale maji ya mashimo ya kwenye miti mikubwa
Hizi imani nyingine bhana..
 
Mkuu fanya mazoezi ya kukimbia ili utoke jasho. Hii tasaidia kutengeneza mfumo wa sweat grand. Fanya asubuhi mchaña na jioni. Usisahau kumi tigopesa ukishapona.
Nishajaribu kila aina ya doderant,mafuta na sabuni lakin wapi. Hili jasho linanikera japo halitoi harufu lakni linachora ramani fulani hivi ya bara la afrika tafadhali mtu ambaye ashawahi kukumbwa na tatizo hili na akaweza kulitatua anisaidie ufumbuzi
 
Nishajaribu kila aina ya doderant,mafuta na sabuni lakin wapi. Hili jasho linanikera japo halitoi harufu lakni linachora ramani fulani hivi ya bara la afrika tafadhali mtu ambaye ashawahi kukumbwa na tatizo hili na akaweza kulitatua anisaidie ufumbuzi
Mkuu Faustine, ingawa haujatueleza usafi wako binafsi unaufanyafanyaje.
Huduma ya kwanza ya kadhia hiyo ni kunyoa kabisa.
Ninamaanisha kunyoa para kwa kutumia wembe.
Na nyia mfululizo mara kwa mara na wakati wa kuoga sugua sana kwapa kwa kutumia dodoki na ukisha maliza kuoga, jikaushe vizuri jikung'utie poda kiasi, ijapo wengine hupitisha mafuta sehemu hizo yote sawa.
Baada ya zoezi hilo lete mrejesho.
 
Mkuu Faustine, ingawa haujatueleza usafi wako binafsi unaufanyafanyaje.
Huduma ya kwanza ya kadhia hiyo ni kunyoa kabisa.
Ninamaanisha kunyoa para kwa kutumia wembe.
Na nyia mfululizo mara kwa mara na wakati wa kuoga sugua sana kwapa kwa kutumia dodoki na ukisha maliza kuoga, jikaushe vizuri jikung'utie poda kiasi, ijapo wengine hupitisha mafuta sehemu hizo yote sawa.
Baada ya zoezi hilo lete mrejesho.
Tutajaribu, tatizo la wengi hili.
 
Chukua maji ya Ukoko wa Ugali uwe unaogea hasa hizo sehemu zenye kutoa Jasho.

Baada ya kuoga Chukua maji ya ukoko usafishe kwa kusugua hizo kwapa zako na subiri baada ya muda jifute na taulo (Fanya hivyo mara mbili au 3 kwa wiki)
Na pia asisahau kupaka limao na poda
 
Sio kweli sikubaliani na wewe,shida hapo sio kwapa zako ,shida hapo ni kurudia shati,shati ukilivaa kwa siku moja kama limefuliwa vizuri hata kama hukupaka deodorant halitoi ramani,lakini ukilirudia mara mbili au tatu lazima litatoa ramani,endelea kutumia hizo deo na ubadilishe shati au kufua kila siku...
 
Back
Top Bottom