Recent content by Katitima

  1. Katitima

    Bachelor of Security and Strategic Studies at Institute of Accountancy Arusha (IAA)

    Anamaliza mwezi July bila shaka atakuwa tayari kutumika kuanzia August.
  2. Katitima

    Nissan Dualis yawaka moto. Hizi gari zina shida gani?

    Huu ni uongo mkuu, hebu lete tena feedback maana zishakuwa nyingi. Me nina yakwangu namba C ipo tangu 2014 haijawahi hata kutoa harufu ya moshi.
  3. Katitima

    Matokeo ya ACSEE 2008

    Na sisi wa 2005 utatuitaje?
  4. Katitima

    Je, LBL sio Matapeli kama Matapeli wengine?

    Tupe code mkuu tujilipue.
  5. Katitima

    Bachelor of Security and Strategic Studies at Institute of Accountancy Arusha (IAA)

    O Ok,hawa jamaa walikuwa/wanatoa hata kwa raia pia? au ilikuwa ni maalumu kwa ajili ya maafisa wao?
  6. Katitima

    Bachelor of Security and Strategic Studies at Institute of Accountancy Arusha (IAA)

    Asante, angalau napata pa kuanzia japo bado natamani kujua application yake huku Duniani
  7. Katitima

    Bachelor of Security and Strategic Studies at Institute of Accountancy Arusha (IAA)

    Habari za kazi wanajamvi. Samahani, miongoni mwa kozi nne alizopata bwana mdogo katika maombi ya vyuo vikuu kwa msimu wa masomo wa 2022/2023 ni pamoja na kozi tajwa hapo juu (Bachelor in Security and Strategic Studies at Institute of Accountancy Arusha (IAA) Binafsi nimetamani kuijua kozi hii...
  8. Katitima

    Msaada kuhusu Verification Certificate inayopatikana kwenye Ajira Portal

    mkuu ulipata msaada hapa? kuna mdogo wangu pia anapata shida kama hii na akiomba maombi yanakuwa rejected
  9. Katitima

    PSRS: Ajali zote hizi bado usahili wa madereva mnafanya ujanja ujanja??

    Chief tupeane japo uzoefu kidogo wa hii pannel na mfumo mzima wa usaili maana kuna bwana mdogo ameitwa kwenye hii awamu nyingine na yupo huku Mwanza kama ni magumashi apige tu chini mapema
  10. Katitima

    UTAPELI wa Kazi za African Child Aid (CHUKUA TAHADHARI) | Beware of Scam

    Date 3rd December, 2018. Ref: Hunger Aid Africa Field Officer, Dear Cosmas, Thank you for showing interest in working with us. We are writing to inform you that after reviewing your resumes and credentials, you have been shortlisted for the above reference in our organization. This position...
  11. Katitima

    Soko la Agriculture Engineers (waandisi kilimo) kwenye ajira

    hatari sana yule mzee kaka.naona huyo kijana hapo juu analeta madoido hapa
  12. Katitima

    Soko la Agriculture Engineers (waandisi kilimo) kwenye ajira

    Hivi huyu jamaa ndo anamaliza chuo mwakani,au walishakula kichwa akina Mlengela?
  13. Katitima

    Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

    Haya yalulimwa peramiho B kama unakwenda maposeni. Yalivunwa vizuri tu mwezi huu na pale sokoni yanakwenda kwa bei ya 2500 kwa tikiti
Back
Top Bottom