Ligogoma
JF-Expert Member
- Aug 27, 2010
- 3,503
- 6,376
Usahili wa awali wa vitendo kwa nafasi ya Dereva ll uliofanyika kuanzia tarehe 6/07/2019 hadi tarehe 26/07/2019 watahiniwa waligawanya katika makundi (Groups)
Katika Group la tarehe 21/07/2019 walifanya watahiniwa (madereva) 21 tu!
Katika majibu yaliyopostiwa kwenye mtandao group hilo hilo lililokuwa na madereva 21 majibu yanaonyesha lilikuwa na watahiniwa madereva 33 na waliochaguliwa ni 22. 😩🤣🤣
Jamani!! Hawa 12 waliozidi wametoka wapi na ndiyo hasa waliopitishwa??
Serikali ina nia ya dhati kweli kupata madereva wazuri katika jitihada za kupunguza ajali kwa watumishi wa umma wawapo safarini??
Mwisho!! Siku hizi kuna mitandao ya kijamii, watu wanafanya usahili na kuunda group la WhatsApp papo hapo! Ukitokea ujanja ni rahisi kujulikana! Au ambaye hakuwepo rahisi kuonekana!!
Mnashindisha watu na njaa mpaka Mkuranga huko halafu ambao hawakufanya usahili ndiyo wanapita maana yake nino??
PSRS mbadilike! Mnaondoa imani kwa wasahiliwa wenu!!
Katika Group la tarehe 21/07/2019 walifanya watahiniwa (madereva) 21 tu!
Katika majibu yaliyopostiwa kwenye mtandao group hilo hilo lililokuwa na madereva 21 majibu yanaonyesha lilikuwa na watahiniwa madereva 33 na waliochaguliwa ni 22. 😩🤣🤣
Jamani!! Hawa 12 waliozidi wametoka wapi na ndiyo hasa waliopitishwa??
Serikali ina nia ya dhati kweli kupata madereva wazuri katika jitihada za kupunguza ajali kwa watumishi wa umma wawapo safarini??
Mwisho!! Siku hizi kuna mitandao ya kijamii, watu wanafanya usahili na kuunda group la WhatsApp papo hapo! Ukitokea ujanja ni rahisi kujulikana! Au ambaye hakuwepo rahisi kuonekana!!
Mnashindisha watu na njaa mpaka Mkuranga huko halafu ambao hawakufanya usahili ndiyo wanapita maana yake nino??
PSRS mbadilike! Mnaondoa imani kwa wasahiliwa wenu!!