Biblia inasema wanafiki na waandishi wenye kupotosha hawataenda Mbinguni, wewe LIZABONI kuandika kote humu JF hukuyajua haya? semeni basi na pale ZANTEL karibu na ubalozi wa Marekani nani anapafaidi?nani walisaini?
Kesho nitawapa namba zake za simu , huwa hana wakala ila vifaranga vikitoka anasambaza mikoa yote kwa wateja waliokwisha lipia hadi majumbani mwao kwa magari yake.
Vifaranga vizuri vyenye uakika wa kuchanjwa MEREKSI vinapatikana Songwe Mbeya kwa mama Patricia, uliza wafugaji wengi wakubwa wanamfahamu.
Vifaranga vyake ni aina ya Issa brown.
Bei 2,200 kwa kimoja.
Chakula waweza nunua au tengeneza mwenyewe.
Ulaji wa kuku mmoja ni kg 0.125 per day zidisha na...
Toa taarifa polisi ya kupotelewa na result slip, toa tangazo gazetini, ambatanisha risiti ya polisi na kipande cha tangazo lililotoka gazetini nenda kaomba result slip baraza la mitihani.
Mechard tuambie wewe unataka JPM ajifunze kwa nani mwenye nchi yenye historia inayofanana na Tanzania, pia ni wapi ulisikia JPM akisema mshauri wake ni PK pekee, JPM anasoma humu mitandaoni, hata wewe unaweza kumshahuri jambo akiona lafaa atalichukua, wewe kwenye familia yako nani huwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.