Na mtambue tangu leo kuwa mwaka huu ni wa mabadiliko! Uteja wa yanga kwa simba kwishney vivyo hivyo ccm haina chao kwa kwa chadema mwaka huu! Unaambiwa mungu sio wa upande mmoja
Mtalia sana mwaka huu!! Ni kwa style ileile mlokuwa mnatumia miaka ya nyuma kukacha midahalo! Sasa limewakumba mnalia!! Poleni malipo huwa ni hapahapa duniani.
Kwa watu hawa 40 alokuwa nao makofuli natabir kwamba kwa mara ya kwanza mgombea uraisi kwa tiketi ya sisiem anashindwa vibaya! Wanavyojifariji wti tuna kura zote za kanda ya ziwa ahahahaha majibu mmeyapata!! Kazi kwenu
Nyoko nyie ni wezi na majibu yenu huwa ndo haya kila cku mara ooohooo mitambo ilikuwa na matatizo mara nn. Nyie mitam o inaharibika kulamba salio la watu tu mbona haiaribiki tukakuta salio limeongezeka au tukapiga sim bureee. Pumbavu zenu majizi nyie.
Voda ni mezi kinoma juzi tu kilaini chao nimetupa kule nikahamia kwa baba yao airtel sasa ni mwendo mdundo tu. Ushaur ndg zangu wa voda kimbien mapema la sivyo yatawafilisi haya mjambaz. Q
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.