Nako huku kumbe kuna mfumo!

Nako huku kumbe kuna mfumo!

Au mfumo ni mwenye chama na mwenyekiti wa chama ni mtu na mkwewe. Asilimia 80 ya viongozi ni wachaga, halafu walutheri. Asilimia 90 ya wafuasi kichwani ni sifuri
Quinn imeanza kuwaingia bado kafuti mzime kabisa ahahahaha
 
Au mfumo ni mwenye chama na mwenyekiti wa chama ni mtu na mkwewe. Asilimia 80 ya viongozi ni wachaga, halafu walutheri. Asilimia 90 ya wafuasi kichwani ni sifuri

Huu mfumo n hatari sana
udini na ukabila
 
Waislamu msimpe lowassa kura. lowassa ameletwa ukawa na gwajima. Lowaasaa akishinda gwajima atakua na nguvu sana. Gwajima haupendi uislamu. Vile lowassa nae ana chembechembe za kuuchukia uislamu, wakiwa madarakani wataangamiza uislamu.

Waislamu amkeni. Semeni NO kwa lowassaaaaa

Lowasa ndiye aliesaini mkataba uliyoyapa makanisa haki ya kupewa ruzuku na serikali. Waislamu wameachwa bila ruzuku yoyote licha ya kuwa walipa kodi pia.

WALLAHI mkimpa kura lowassa mtaingia motoni
Mpeni kura magufuli. Siyo mdini

------ kubwa wewe tena unakula nguruwe
 
sidhani kama kuna kaukweli kwenye andishi lako maana kama ni MOU rais alikuwa Mwinyi na alikuwa na uamzi wa kuukataa kama angetaka.
tatizo langu na Lowassa ni moja tu. haya mamilioni aliyotumia kuitafuta ikulu yatarudi vipi akishinda? nina wasiwasi mkubwa sana na huyu jamaa.


Waislamu msimpe lowassa kura. lowassa ameletwa ukawa na gwajima. Lowaasaa akishinda gwajima atakua na nguvu sana. Gwajima haupendi uislamu. Vile lowassa nae ana chembechembe za kuuchukia uislamu, wakiwa madarakani wataangamiza uislamu.

Waislamu amkeni. Semeni NO kwa lowassaaaaa

Lowasa ndiye aliesaini mkataba uliyoyapa makanisa haki ya kupewa ruzuku na serikali. Waislamu wameachwa bila ruzuku yoyote licha ya kuwa walipa kodi pia.

WALLAHI mkimpa kura lowassa mtaingia motoni
Mpeni kura magufuli. Siyo mdini
 
Mfumo wa cuf ni ccm B. mfumo wa yeyote anaetaka kugombea nafasi ya mbowe ni msaliti pia mfumo mzuuuuri wa ukionekana kuwapinga viongozi toka kaskazini wanakuchachawangwe
 
UKAWA mnanifurahisha na mfumo wenu mnaoutumia. Au mfumo wenu ni ule wa kuwakata walioshinda kwenye kura za maoni na kuwaweka mnaowataka au mfumo wenu ni kuwauzia chama wenye hela na kukitawala.

Au mfumo wenu ni kuwafukuza waanzilishi wa chama na kuwapokea makapi ya CCM au mfumo wenu ni ule wa nyie kwa nyie wa kugombania majimbo?

Je mfumo wenu ni ule wa kuwasafsha watu ambao mlishakwisha watuhumu kuwa ni mafisad waliokubuhu yaani wako kwenye list ya mafisadi wa Taifa leo hii kisa wapo upande wenu mnawasafsha.

Nataka kujua kuwa je mfumo wenu ni ule wakukurupuka leo hii unasema hivi kwa mabaya kisa haukonacho lakini kesho ukipata unakisfia? Hivi nyie vigeugeu ndo mnataka mpewe nchi? yaani UKAWA hamueleweki.

We kweli Makolokolo!
Jina limefika mahali pake.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom