makundubhyali
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 2,389
- 886
Nimeingia hapa mwanza toka Chato nilipo hamna umeme tangu alfajiri.Hata huku temeke wamekata umeme
Nimeingia hapa mwanza toka Chato nilipo hamna umeme tangu alfajiri.Hata huku temeke wamekata umeme
Lowasa na Sumaye wanatufanya watanzania hamnazo! kwa kuwa niko hapa jirani, ngoja nikasikilize utu.mbo wao sijui wataruhusu maswali! Na tunavyoendaga kuwashangaa utawasikia "Umeona nyomi"kumbe wengine tunawashangaa tu!
View attachment 293472
Lowasa na Sumaye ndo wamesababisha kuwepo na magofu kama haya badala ya viwanda
lowasa na sumaye wanatufanya watanzania hamnazo! Kwa kuwa niko hapa jirani, ngoja nikasikilize utu.mbo wao sijui wataruhusu maswali! Na tunavyoendaga kuwashangaa utawasikia "umeona nyomi"kumbe wengine tunawashangaa tu!
Uulize na watanzania watakao wasikiliza nao hawaoni aibu? Alipoomba uwanja wa taifa mlimnyima akaomba jangwani mkaweka zengwe.
View attachment 293472
Lowasa na Sumaye ndo wamesababisha kuwepo na magofu kama haya badala ya viwanda
Na nyie mliokwenda kuwaona Lowasa na Sumaye pale Tanganyika Packers kweli hamjiulizi?Mawaziri wakuu ambao wameshindwa kufufua hicho kiwanda na leo wanaona poa tu kufanyia mikutano hapo,Wakati kiwanda hicho kingepunguza unemployment Tanzania.
Lowasa na Sumaye wanatufanya watanzania hamnazo! kwa kuwa niko hapa jirani, ngoja nikasikilize utu.mbo wao sijui wataruhusu maswali! Na tunavyoendaga kuwashangaa utawasikia "Umeona nyomi"kumbe wengine tunawashangaa tu!
View attachment 293472
Lowasa na Sumaye ndo wamesababisha kuwepo na magofu kama haya badala ya viwanda
wewe acha kuropoka kama magufuli. Mbona mnasifia nyomi ya fiesta ya dodoma.ccm ndio imeuwa viwanda toa blanketi usoni
Wewe una chuki binafsi.naweza kukupa history ya kiwanda hivi mzazi wangu alishawahi kuwa manager miaka iyo.ccm ndo wametufikisha hapa Mkapa ndo alimaliza kabisa ila Mwinyi ndo alichangia lwa asilimia kubwa sana.ukitaka nianzishe topic tujadili.acha siasa za kijinga.View attachment 293472
Lowasa na Sumaye ndo wamesababisha kuwepo na magofu kama haya badala ya viwanda
Na nyie mliokwenda kuwaona Lowasa na Sumaye pale Tanganyika Packers kweli hamjiulizi?Mawaziri wakuu ambao wameshindwa kufufua hicho kiwanda na leo wanaona poa tu kufanyia mikutano hapo,Wakati kiwanda hicho kingepunguza unemployment Tanzania.
Ndio maana mnadharauliwa.
Uliowataja wanahusika vipi?...kwa nini dongo hilo usielekeze kwa serikali chini ya dubwasha ccm kuua viwanda?
#kipaumbele lazima kiwe
1. Elimy
2. Elimu
3. Elimu
Wamekuwa waziri wakuu,yaani watendaji wakuu lakini kiwanda kimejifia eti na leo wanahutubia hapo,watanzania sijui nani katurogaVictoire naomba kuuliza,hivi Lowassa na Sumaye wamekwisha wahi kuwa Viongozi wakuu (Rais) wa Nchi hii tokea lini?..Hivi unajua ni kwa nini wananchi wote wanamchagua Rais na wala sio Waziri Mkuu?Mkataba wa kura na Maendeleo huwekwa baina ya wananchi na Rais ama Diwani na Mbunge kwa upande wa jimbo!!..