Recent content by Kategele

  1. Kategele

    Woman Loses Uterus to Alleged Intern Doctors After Stillbirth at Kawempe

    Bora walifanya maamuzi ya kuondoa kizazi alikuwa anaondoka yeye na mtoto. Nimepoteza mama na mtoto wa kuchelewa Madaktari kufanya maamuzi.
  2. Kategele

    Mwalimu Afariki Dunia baada ya kushambuliwa shambani Masasi - Mtwara kisa mgogoro wa ardhi

    Hata kama hutaki mgomvi atakutafuta tu ukiziachia hizo hatua 2 mwaka kesho anasogeza tena kwako hatua 2 ukikubali tena mwaka unaofuata anaanzisha tena kusogeza hatua 2 mpaka ukasilike tu wanadamu wanapenda ukorofi kutoka damuni kabisa.
  3. Kategele

    Nani yupo macho?

    Niko macho mazingira ya huzuni kwa kuondokewa na Mke wangu kipenzi😭😭😭 RIP mama watoto wangu.
  4. Kategele

    Chato wamrudishe Diwani Kapembe awe Mwenyekiti wa Halmshauri ya Chato. Alishinda kihalali apewe kiti chake

    Kapembe hana uwezo kuisimamia halmashauri maana elimu kichwani hana zaidi ya uganga wa kienyeji. Manunga alifanya mpango apate mpinzani dhaifu ili apite kirahisi. Cha kushangaza madiwani wakamkomoa kwa kumpgia kura Kapembe.
  5. Kategele

    Wazazi wa kisasa msijisahau kwenye Malezi, hawa kina junior wamekuwa mizigo hawawezi hata kujioshea vyombo ni mizigo, ni kero kubwa wakiwa ugenini

    Kwa kuliona hilo serikali imeanzisha somo la historia ya Tanzania na maadili. Kidogo kina junior wataokota vitu vya maadili. Nimepitia kitabu kina mada za maadili, kazi za nyumbani, Kuheshimu wakubwa na jamii
  6. Kategele

    Shoga haliwezi kubadilikaa kamwe

    Kuzaliwa na hulka za kike siyo kosa lakini kuwa shoga ni suala la mtu mwenyewe kuamua awe shoga. Hulka za kike hazimfanyi mtu awe shoga.
  7. Kategele

    Wazee anayejua mganga mzuri, nimeibiwa tofali zangu site

    Kiwanja hakitembelewi tafuta hela wape wakandarasi wafanye kazi wewe ukabidhiwe ufunguo wa nyumba ukague na kuanza kuishi. Ona sasa umepeleka matofali kulinda kiwanja na yameibiwaaa. Anyway pole
  8. Kategele

    Usikurupuke kula ovyo kwenye vi fast food vya sinza utalia kama sio kuacha simu yako

    Fast food nyingi ni zinatapeli huduma haiendani na bei kabisa wadada wadangaji wamehamia kuanzisha vifast food uchwala pumbavu zao kabisa ukilalamika vinakujazia watu unalalamika nn mbona wezanko wanalipa
  9. Kategele

    Je hapa Nina mke kweli?atumia laki tatu ndani ya wiki3 akiwa ugenini katika harus

    Maisha yamebadilika siku hizi baba mwenye mji amegeuzwa Msukule wa familia unaofanyishwa kazi huku familia inakula bata hata huruma hawana😁😁😁
  10. Kategele

    Urembo wa madirisha kwa nje na kona za nyumba

    Kuremba sana nyumba inakirihisha inagaa sana kama jeneza. Bora kuweka rangi iliyopoa.
  11. Kategele

    Wanawake wengi wanapata vidonda vya tumbo kwasababu ya stress nyingi

    Acha wauguwe hawana akili unacheza kikoba na huna uwezo mwisho wa siku hata kibubu kikivunjwa linakutwa na negative hisa
Back
Top Bottom