Hata kama hutaki mgomvi atakutafuta tu ukiziachia hizo hatua 2 mwaka kesho anasogeza tena kwako hatua 2 ukikubali tena mwaka unaofuata anaanzisha tena kusogeza hatua 2 mpaka ukasilike tu wanadamu wanapenda ukorofi kutoka damuni kabisa.
Kapembe hana uwezo kuisimamia halmashauri maana elimu kichwani hana zaidi ya uganga wa kienyeji.
Manunga alifanya mpango apate mpinzani dhaifu ili apite kirahisi.
Cha kushangaza madiwani wakamkomoa kwa kumpgia kura Kapembe.
Kwa kuliona hilo serikali imeanzisha somo la historia ya Tanzania na maadili. Kidogo kina junior wataokota vitu vya maadili. Nimepitia kitabu kina mada za maadili, kazi za nyumbani, Kuheshimu wakubwa na jamii
Kiwanja hakitembelewi tafuta hela wape wakandarasi wafanye kazi wewe ukabidhiwe ufunguo wa nyumba ukague na kuanza kuishi.
Ona sasa umepeleka matofali kulinda kiwanja na yameibiwaaa. Anyway pole
Fast food nyingi ni zinatapeli huduma haiendani na bei kabisa wadada wadangaji wamehamia kuanzisha vifast food uchwala pumbavu zao kabisa ukilalamika vinakujazia watu unalalamika nn mbona wezanko wanalipa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.