Recent content by kataza

  1. kataza

    Kununua mazao na kuweka ghalani

    Nashukuru sana kaka
  2. kataza

    Kununua mazao na kuweka ghalani

    Pia vp kuhusu usalama wa mzigo unapoacha.ghalani ni vitu gani vya kuzingatia ili mzigo wako uwe salama in terms of documentation
  3. kataza

    Kununua mazao na kuweka ghalani

    Hasa za hasa zao la mpunga
  4. kataza

    Kununua mazao na kuweka ghalani

    Mtaji utakaofaa kuanza nao,changamoto zake return yake ,expected profits kwa mtaji husika na vitu muhimu vya kuzingatia
  5. kataza

    Kununua mazao na kuweka ghalani

    Habari naomba mwenye uzoefu na biashara yaa kununua mazao na kuweka ghalani kisha kuuza baada ya msimu wa mavuno kuisha anishauri
  6. kataza

    Naombeni ushauri nataka kufungua duka la dawa nina mtaji wa milion 10

    Mimi ni kijana wa miaka 30 nina elimu ya diploma ya clinical medicine nilimaliza chuo miaka 4 iliyopita.naomba kufahamishwa hasa namna rahisi ya kumudu biashara tajwa hapo juu. Siwezi kukaa mwenyewe kutokanq na majukumu yangu kwahiyo nimepangq nimuweke mtu kwa ajili ya kuuza. Naomba...
  7. kataza

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Asmah atapata dharura either ya safari kwenda alipo irine na hapo utajiapia huwezi date nae tena ......
  8. kataza

    Enzi za utoto uliaminishwa jambo gani la uongo?

    Habarini wapendwa, Niende moja kwa moja kwenye mada mimi niniaminishwa kuwa kusoma kwa bidii na kufaulu vizuri sana moja kwa moja unafanikiwa ila jamani yote nimeyafanya ila mafanikio sasa duh.
  9. kataza

    Mechi ya kirafiki Kilimanjaro stars vs Zanzibar heroes saa ngapi

    Please naomba muda watu wa mpira
  10. kataza

    Naomba mwenye link ya matokeo ya kachaguliwa kidato cha kwanza mwaka 2024 atume

    Habari comrades kichwa cha habari chajieleza .Mwenye nayo please [emoji120] atume humu
  11. kataza

    Naomba msaada wa kueleweshwa kuhusu aina mbali mbali zifuatazo za alphard

    Msaada please [emoji120] [emoji22] [emoji24] Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
  12. kataza

    Nimeamua kununua Toyota alphard naombeni elimu kuhusu ni aina gani ni nzuri hasa zenye CC 2390

    Hello comrades kichwa cha habari kinajieleza please msinichoke naombeni elimu... Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
  13. kataza

    Naomba kupewa elimu kuhusu tatizo la ingrown nails

    Habari comrades, Nina ndugu yangu anatatizo tajwa kwa muda. Wa miaka 7 sasa ametumia antibiotics na antifungal lakini hakuna nafuu kabisaaaa. Naomba kufahamishwa kuhusu risk factors, causes, investigations and Rx Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
  14. kataza

    Bachelor of Arts in Economics and Sociology

    Hello ladies and gentlemen, Please naomba kuuliza mtu akisoma kozi hiyo tajwa hapo juu atafanya kazi wapi na atatambulika kama nani?
Back
Top Bottom